Yanga Sports tatizo ni nini mpaka sasa?

Yanga Sports tatizo ni nini mpaka sasa?

Manyanza

JF-Expert Member
Joined
Nov 4, 2010
Posts
16,464
Reaction score
35,629
IMG_20240731_211327_518.jpg

🟢Kila Siku naskia mnatamba kuwa nyie ni Timu kubwa sana Africa, inakuwaje mpaka Sasa sold out ni VIP A tu?

Wananchi inaonekana ikifika swala la Hela huwa mnavua jezi kabsaa mnasubili tamasha liishe ndio mvae tena jezi.

Hii sio sawa igeni mfano mzuri kwa mashabiki wa Simba.

Na Walianza kuuza ticket kabla ya Simba SC.
 
View attachment 3057945
🟢Kila Siku naskia mnatamba kuwa nyie ni Timu kubwa sana Africa, inakuwaje mpaka Sasa sold out ni VIP A tu ?

Wananchiiiiiiii inaonekana ikifika swala la Hela huwa mnavua jezi kabsaa mnasubili tamasha liishe ndio mvae tena jezi .. hii sio sawa .. igeni mfano mzuri kwa mashabiki wa simbasctanzania .
Na Walianza kuuza ticket kabla ya Simba SC.
Ukubwa wa timu haupimwi kwa siku ya timu. Hata usipokuwa na siku ya timu, ukiwafunga wote kwenye ligi nzima unakuwa timu kubwa kwenye ligi yenu.

Achia mbali huku LUZA CUP, ukienda kwenye ligi ya mabingwa na ukawafunga wote, UNAKUWA TIMU KUBWA, wewe kolooo..!!
 
YANGA KAANZA KUUZA TIKETI TAREHE 19 MWEZI HUU HUKU SIMBA KAANZA KUUZA TIKETI KUANZIA TAREHE 22 MWEZI HUU YANGA KATANGULIA KWA SIKU HIZI NYAKATI ZA TEKNOLOJIA.

HUKU UPANDE WA KUSAPOTI SIMBA YETU NYIE TUACHENI SI TUNA DUNIA YETU.

IMG_20240731_213259_437.jpg
 
Ukubwa wa timu haupimwi kwa siku ya timu. Hata usipokuwa na siku ya timu, ukiwafunga wote kwenye ligi nzima unakuwa timu kubwa kwenye ligi yenu.

Achia mbali huku LUZA CUP, ukienda kwenye ligi ya mabingwa na ukawafunga wote, UNAKUWA TIMU KUBWA, wewe kolooo..!!
Acha kutafuta sababu kwanza hii pia ni fact kuonesha kwamba nyie mpo outnumbered.

Na uongozi wenu mpaka kufikia jumamosi kuna dalili naziona za kuweka kiingilio buku. Na wakifanya masihara wakapuuza daliii yatawakuta yale ya msimu uliopita ya fungulia mbwa.

Pamoja na udogo wenu bado nyie hamna pasheni ya kununua tiketi ni mpaka bosi wenu awanunulie, na bosi kununua ni hadi wapambe wake wafanye kazi ya ziada ya kumshika sharubu na kumkuna kitambi.

Na ndio maana naye kwa hasira anakuja kuwakamua kwenye jezi kwa kuwapa 1,200 ili kufidia hizo loopholes ambazo anakuwa anagharamika kwenye jambo ambalo sio jukumu lake bali ilikuwa ni wajibu wa mashabiki.
 
Ukubwa wa timu haupimwi kwa siku ya timu. Hata usipokuwa na siku ya timu, ukiwafunga wote kwenye ligi nzima unakuwa timu kubwa kwenye ligi yenu.

Achia mbali huku LUZA CUP, ukienda kwenye ligi ya mabingwa na ukawafunga wote, UNAKUWA TIMU KUBWA, wewe kolooo..!!
GBoost na Jiesiemu eneji kupunguza mfadhaiko 🤣🤣🤣
 
YANGA KAANZA KUUZA TIKETI TAREHE 19 MWEZI HUU HUKU SIMBA KAANZA KUUZA TIKETI KUANZIA TAREHE 22 MWEZI HUU YANGA KATANGULIA KWA SIKU HIZI NYAKATI ZA TEKNOLOJIA.

HUKU UPANDE WA KUSAPOTI SIMBA YETU NYIE TUACHENI SI TUNA DUNIA YETU.

View attachment 3057959
Atanunua tiketi nani, hivi unawajua vizuri Gongowazi wewe?

Kula yao tu sometimes ni mpaka wafanyiwe hisani na Club kwa kupewa supu za free bot, ndio uje kwenye swala sensitive kama tiketi?

Matukio ya hisani kama hayo ndio sehemu pekee unayoweza kuona umoja na muitikio wa Gongowazi.

Lakini sio kwenye ishu ya kulipia tiketi au kuigharamia timu yao.
 
Makolo mnalazimisha sana furaha kwa kuibuka stupidity stuffs. Mafanikio ya timu ni kutandaza kandanda safi uwanjani. Tukutane tarehe 8
 
Mimi ni Yanga damu damu ila nadhani wanayanga wengi wanaoishi Dar ni wachovu sana hasa linapokuja swala la kununua tiketi. Kwa mfano mchezo huo ungechezewa mikoani, tuseme Mwanza, na bei zikiwa juu ya hizo za Dar, tiketi zote zingenunuliwa na uwanja kufurika. Lakini kwa Dar inaonekana kuna tatizo sana.
 
Mimi ni Yanga damu damu ila nadhani wanayanga wengi wanaoishi Dar ni wachovu sana hasa linapokuja swala la kununua tiketi. Kwa mfano mchezo huo ungechezewa mikoani, tuseme Mwanza, na bei zikiwa juu ya hizo za Dar, zote zingenunuliwa na uwanja kufurika. Lakini kwa Dar inaonekana kuna tatizo sana.
Huwa wanajaa kwenye Supu ya bure tu.
 
View attachment 3057945
🟢Kila Siku naskia mnatamba kuwa nyie ni Timu kubwa sana Africa, inakuwaje mpaka Sasa sold out ni VIP A tu ?

Wananchiiiiiiii inaonekana ikifika swala la Hela huwa mnavua jezi kabsaa mnasubili tamasha liishe ndio mvae tena jezi .. hii sio sawa .. igeni mfano mzuri kwa mashabiki wa simbasctanzania .
Na Walianza kuuza ticket kabla ya Simba SC.
Yanga wanasubiri watangaziwe kuwa kiingilio itakuwa ni bure.
 
Mimi ni Yanga damu damu ila nadhani wanayanga wengi wanaoishi Dar ni wachovu sana hasa linapokuja swala la kununua tiketi. Kwa mfano mchezo huo ungechezewa mikoani, tuseme Mwanza, na bei zikiwa juu ya hizo za Dar, tiketi zote zingenunuliwa na uwanja kufurika. Lakini kwa Dar inaonekana kuna tatizo sana.
Uongozi nao watakuwa ni wapumbavu tu, kama Dar es asalaam hakuna Mashabiki si wa hiyo Yanga Day wangeipeleka mkoani tu! Yanga wa Dar wameshazieshwa vya bure
 
View attachment 3057945
🟢Kila Siku naskia mnatamba kuwa nyie ni Timu kubwa sana Africa, inakuwaje mpaka Sasa sold out ni VIP A tu?

Wananchi inaonekana ikifika swala la Hela huwa mnavua jezi kabsaa mnasubili tamasha liishe ndio mvae tena jezi.

Hii sio sawa igeni mfano mzuri kwa mashabiki wa Simba.

Na Walianza kuuza ticket kabla ya Simba SC.
Yanga si ni timu ya Wananchi? Nyumbani wanajifunika na vyandarua kwa "Msaada wa Watu wa Marekani" na uwanjani wanaingia kwa "Msaada wa GSM"! Sold out za nini?
 
Back
Top Bottom