Yanga Sports tatizo ni nini mpaka sasa?

Yanga Sports tatizo ni nini mpaka sasa?

Hatuna haraka injinia atazinunua atakuja kutugaia tuingie bure
 
Uzuri shughuli ya send off ndio inatangulia lazima muwe wengi ila tarehe 8 kipigo kipo pale pale.
 
View attachment 3057945
🟢Kila Siku naskia mnatamba kuwa nyie ni Timu kubwa sana Africa, inakuwaje mpaka Sasa sold out ni VIP A tu?

Wananchi inaonekana ikifika swala la Hela huwa mnavua jezi kabsaa mnasubili tamasha liishe ndio mvae tena jezi.

Hii sio sawa igeni mfano mzuri kwa mashabiki wa Simba.

Na Walianza kuuza ticket kabla ya Simba SC.
Mashabiki wengi wa Yanga wanatabia za Kiislam, kutoa sadaka ni ishu hata msikiti uwe mzuri vipi, simba wana tabia za kikristu toa sana sadaka.
 
Poleni uto...timu imejaa wapiga domo tuu...
Ukubwa wa timu unagusa nyanja nyingi...
 
View attachment 3057945
🟢Kila Siku naskia mnatamba kuwa nyie ni Timu kubwa sana Africa, inakuwaje mpaka Sasa sold out ni VIP A tu?

Wananchi inaonekana ikifika swala la Hela huwa mnavua jezi kabsaa mnasubili tamasha liishe ndio mvae tena jezi.

Hii sio sawa igeni mfano mzuri kwa mashabiki wa Simba.

Na Walianza kuuza ticket kabla ya Simba SC.
Wazee wa kitonga hao
 

Attachments

  • IMG-20240801-WA0000.jpg
    IMG-20240801-WA0000.jpg
    155.5 KB · Views: 1
View attachment 3057945
🟢Kila Siku naskia mnatamba kuwa nyie ni Timu kubwa sana Africa, inakuwaje mpaka Sasa sold out ni VIP A tu?

Wananchi inaonekana ikifika swala la Hela huwa mnavua jezi kabsaa mnasubili tamasha liishe ndio mvae tena jezi.

Hii sio sawa igeni mfano mzuri kwa mashabiki wa Simba.

Na Walianza kuuza ticket kabla ya Simba SC.
Siburi baada ya siku ya wananchi ndiyo utoe hukumu inamaana akili zako zinakukazata kuelewa kwamba Yanga sc siyo moja kati timu 10 kubwa Frica,?
 
Back
Top Bottom