Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 21,470
- 40,593
Jifunzeni kwa Simba, ukiangalia mgawanyo wa ufungaji kwenye Simba, utagundua kwamba wafungaji ni wengi na siyo timu nzima kutegemea mfungaji mmoja tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maana Simba ina magoli mengi lakini haina mchezaji mmoja tu mwenye shea kubwa kwenye hayo magoli. Maana yake leo Kibu D na Inonga hawakuwa kwenye mawazo ya wana Simba kwamba watafunga lakini ndiyo waliofunga magoli.Timu imesheheni waroho wa kutaka ustaa kwa kuonekana wao ndio wamefunga.
Sehemu ya pasi wao wanafosi kufunga.
Bora ushauri huo tuwape Ihefu
TUWEKEE NA GOLI LA KIBU WA KWENYE TAKWIMUTUWEKEE MSIMAMO WA LEAGUE
TUWEKEE STRIKER ANAYEONGOZA MAGOLI
TUWEKEE NAMBA 10 MWENYE MAGOLI MENGI
TUWEKEE KIPA MWENYE CLEAN SHEETS NYINGI
TUWEKEE TEAM YENYE UNBEATEN NYINGI AFRICA
TUWEKEE TEAM YENYE MAKOMBE MENGI TZ
TUWEKEE TUONE TEAM ILIYOFUNGWA MAGOLI MENGI NA MARA NYINGI NA YANGA KWA MIAKA YOTE...
kumfunga Yanga Bingwa ni story kila sehem kwasabab Yanga ni team kubwa Africa... Ni Baba wa mpira Tanzania na Africa ya kati...
💚💛💚💛💚💛🏆🏆🏆🏆🏆
tuwekee na jina la utopolo afrika mashariki na katiTUWEKEE MSIMAMO WA LEAGUE
TUWEKEE STRIKER ANAYEONGOZA MAGOLI
TUWEKEE NAMBA 10 MWENYE MAGOLI MENGI
TUWEKEE KIPA MWENYE CLEAN SHEETS NYINGI
TUWEKEE TEAM YENYE UNBEATEN NYINGI AFRICA
TUWEKEE TEAM YENYE MAKOMBE MENGI TZ
TUWEKEE TUONE TEAM ILIYOFUNGWA MAGOLI MENGI NA MARA NYINGI NA YANGA KWA MIAKA YOTE...
kumfunga Yanga Bingwa ni story kila sehem kwasabab Yanga ni team kubwa Africa... Ni Baba wa mpira Tanzania na Africa ya kati...
💚💛💚💛💚💛🏆🏆🏆🏆🏆
Hapo mwisho kuna kauongo fulaniTUWEKEE MSIMAMO WA LEAGUE
TUWEKEE STRIKER ANAYEONGOZA MAGOLI
TUWEKEE NAMBA 10 MWENYE MAGOLI MENGI
TUWEKEE KIPA MWENYE CLEAN SHEETS NYINGI
TUWEKEE TEAM YENYE UNBEATEN NYINGI AFRICA
TUWEKEE TEAM YENYE MAKOMBE MENGI TZ
TUWEKEE TUONE TEAM ILIYOFUNGWA MAGOLI MENGI NA MARA NYINGI NA YANGA KWA MIAKA YOTE...
kumfunga Yanga Bingwa ni story kila sehem kwasabab Yanga ni team kubwa Africa... Ni Baba wa mpira Tanzania na Africa ya kati...
💚💛💚💛💚💛🏆🏆🏆🏆🏆
Jifunzeni kwa Simba, ukiangalia mgawanyo wa ufungaji kwenye Simba, utagundua kwamba wafungaji ni wengi na siyo timu nzima kutegemea mfungaji mmoja tu,
Bila kauongo mambo huwa hayaendi utopoloni!!Hapo mwisho kuna kauongo fulani
Hapana. Wana Yanga huwa hawafurahi kama Mayelle asipofunga. Kwa ivo huwa anakua kwenye Pressure sana ya kufunga ili ATETEME wana Yanga wafurahi!!Sema sometym mayele anazidi uchoyo [emoji23]
Kweli kabisa mkuuTimu imesheheni waroho wa kutaka ustaa kwa kuonekana wao ndio wamefunga.
Sehemu ya pasi wao wanafosi kufunga.
Bora ushauri huo tuwape Ihefu
Mnampa Presha kubwa sana. Ni kama ni lazima kila mechi afunge. Bado ni mzuri na uwezo wake wa kukimbia na kudhibiti mpira bado ni mkubwa. Ila msilazimishe kuwa kila mechi ni lazima afunge!!Kweli kabisa mkuu
Mayele amekua mtu wa ajabu mno [emoji23][emoji23][emoji23] anapiga mashuti karibia na katikati ya uwanja duh [emoji23][emoji23][emoji23]
Fyoko fyoko, mmekalia viwili leo unatafuta pa kupunguzia maumivu, kama inauma chomoaTUWEKEE MSIMAMO WA LEAGUE
TUWEKEE STRIKER ANAYEONGOZA MAGOLI
TUWEKEE NAMBA 10 MWENYE MAGOLI MENGI
TUWEKEE KIPA MWENYE CLEAN SHEETS NYINGI
TUWEKEE TEAM YENYE UNBEATEN NYINGI AFRICA
TUWEKEE TEAM YENYE MAKOMBE MENGI TZ
TUWEKEE TUONE TEAM ILIYOFUNGWA MAGOLI MENGI NA MARA NYINGI NA YANGA KWA MIAKA YOTE...
kumfunga Yanga Bingwa ni story kila sehem kwasabab Yanga ni team kubwa Africa... Ni Baba wa mpira Tanzania na Africa ya kati...
💚💛💚💛💚💛🏆🏆🏆🏆🏆
Sawa Afande wa ZenjiFyoko fyoko, mmekalia viwili leo unatafuta pa kupunguzia maumivu, kama inauma chomoa
Nakazia hapa[emoji419][emoji419][emoji375][emoji375]Fyoko fyoko, mmekalia viwili leo unatafuta pa kupunguzia maumivu, kama inauma chomoa