Yanga tengenezeni timu yenye wafungaji wengi na siyo kumtegemea Mayele peke yake

Yanga tengenezeni timu yenye wafungaji wengi na siyo kumtegemea Mayele peke yake

TUWEKEE MSIMAMO WA LEAGUE
TUWEKEE STRIKER ANAYEONGOZA MAGOLI
TUWEKEE NAMBA 10 MWENYE MAGOLI MENGI
TUWEKEE KIPA MWENYE CLEAN SHEETS NYINGI
TUWEKEE TEAM YENYE UNBEATEN NYINGI AFRICA
TUWEKEE TEAM YENYE MAKOMBE MENGI TZ
TUWEKEE TUONE TEAM ILIYOFUNGWA MAGOLI MENGI NA MARA NYINGI NA YANGA KWA MIAKA YOTE...
kumfunga Yanga Bingwa ni story kila sehem kwasabab Yanga ni team kubwa Africa... Ni Baba wa mpira Tanzania na Africa ya kati...
[emoji172][emoji169][emoji172][emoji169][emoji172][emoji169][emoji471][emoji471][emoji471][emoji471][emoji471]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa ndo ulie kwa sauti???
Khaaaah
 
Mnampa Presha kubwa sana. Ni kama ni lazima kila mechi afunge. Bado ni mzuri na uwezo wake wa kukimbia na kudhibiti mpira bado ni mkubwa. Ila msilazimishe kuwa kila mechi ni lazima afunge!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
TUWEKEE MSIMAMO WA LEAGUE
TUWEKEE STRIKER ANAYEONGOZA MAGOLI
TUWEKEE NAMBA 10 MWENYE MAGOLI MENGI
TUWEKEE KIPA MWENYE CLEAN SHEETS NYINGI
TUWEKEE TEAM YENYE UNBEATEN NYINGI AFRICA
TUWEKEE TEAM YENYE MAKOMBE MENGI TZ
TUWEKEE TUONE TEAM ILIYOFUNGWA MAGOLI MENGI NA MARA NYINGI NA YANGA KWA MIAKA YOTE...
kumfunga Yanga Bingwa ni story kila sehem kwasabab Yanga ni team kubwa Africa... Ni Baba wa mpira Tanzania na Africa ya kati...
[emoji172][emoji169][emoji172][emoji169][emoji172][emoji169][emoji471][emoji471][emoji471][emoji471][emoji471]
Kujifariji imo usijali
 
TUWEKEE MSIMAMO WA LEAGUE
TUWEKEE STRIKER ANAYEONGOZA MAGOLI
TUWEKEE NAMBA 10 MWENYE MAGOLI MENGI
TUWEKEE KIPA MWENYE CLEAN SHEETS NYINGI
TUWEKEE TEAM YENYE UNBEATEN NYINGI AFRICA
TUWEKEE TEAM YENYE MAKOMBE MENGI TZ
TUWEKEE TUONE TEAM ILIYOFUNGWA MAGOLI MENGI NA MARA NYINGI NA YANGA KWA MIAKA YOTE...
kumfunga Yanga Bingwa ni story kila sehem kwasabab Yanga ni team kubwa Africa... Ni Baba wa mpira Tanzania na Africa ya kati...
💚💛💚💛💚💛🏆🏆🏆🏆🏆
Trash
 
TUWEKEE MSIMAMO WA LEAGUE
TUWEKEE STRIKER ANAYEONGOZA MAGOLI
TUWEKEE NAMBA 10 MWENYE MAGOLI MENGI
TUWEKEE KIPA MWENYE CLEAN SHEETS NYINGI
TUWEKEE TEAM YENYE UNBEATEN NYINGI AFRICA
TUWEKEE TEAM YENYE MAKOMBE MENGI TZ
TUWEKEE TUONE TEAM ILIYOFUNGWA MAGOLI MENGI NA MARA NYINGI NA YANGA KWA MIAKA YOTE...
kumfunga Yanga Bingwa ni story kila sehem kwasabab Yanga ni team kubwa Africa... Ni Baba wa mpira Tanzania na Africa ya kati...
[emoji172][emoji169][emoji172][emoji169][emoji172][emoji169][emoji471][emoji471][emoji471][emoji471][emoji471]
Timu kubwa Afrika ipo nafasi ya 38?

Timu kubwa Afrika ipo kombe la loosers[emoji23][emoji23][emoji23]

Timu kubwa Afrika inafungwa na fala kama kibu?
 
Back
Top Bottom