Yanga tuachane na wachezaji wa Ghana kwa sasa ligi yetu imekua sana ...

Yanga tuachane na wachezaji wa Ghana kwa sasa ligi yetu imekua sana ...

Its Pancho

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2018
Posts
15,966
Reaction score
26,404
Wakuu.
Nikiwa kama mwanayanga mbobevu ambapo ndugu zangu wote humu wananifahamu akiwemo comrade wa muda sana Tate Mkuu

Binafsi natoa ushauri wa rais wetu Hersi .
Ukichunguza kwa makini utagundua kuwa ligi yetu imekua sana ushindani na ubora kuliko ligi nyingi sana hasa za West Africa. ⛏️⛏️

Wale jamaa wao wamefocus kucheza nje tu hasa France 🇫🇷 na Europe tu
Kwa maana hiyo ligi zao ni dhaifu sana sana sana yaani poor.

Kwa sasa tukitaka mchezaji huko hasa Ghana 🇬🇭 basi inafaa awe chuma kweli kweli yaani vigezo viwe over monitoring...✅️✅️

Ukiangalia wachezaji wa Ghana hasa tuliowaleta almost wote walifeli vibaya sana .
Sababu ligi yao dhaifu sana na team ni maskini kiuchumi hata mwamko wao ni mdogo sana .

Hebu tuone hapa.
HAFIZ KONKONI WONTAH.(AKIWA GHANA) Bechem utd
⚽ = 20
🥅 =13
🎯= 0
🟡=0

AKIWA HUKO LIBYA SASA nako hivyo hivyo kajitahidi tahidi tu.


Halafu linganisha alipokuja huku Bongo ndiyo utajua, imagine hadi alipokuwa huko bechem akaitwa na national team..

Haya huyu hapa
AUGUSTINE OKRAH.
⚽️=31
🥅=14
🎯=1
🟡=3

Halafu linganisha na alipokuja huku ndio uone maajabu

Guys ligi yetu sasa ni ngumu sana ushindani mkubwa sana kwa sasa hawa waghana hawatufai na West Africa players wengi tuwe nao makini sana.

KEY WORDS
⚽️=Mechi alizocheza
🥅= magoli
🎯=assists
🟡= yellow card
🔴= red card

Na soon okrah atarudi bongo hapa anaenda kwao Bechem utd pale anafunga goli kama 12 then huyo utaskia yupo ihefu.
 
Naunga mkono hoja. Kwa hali ilipofikia Yanga, ni bora tukaendelea kuchukua wachezaji kutoka DRC, Ivory Coast, Mali na Burkina Faso. Waghana kwa kweli wamekuwa ni changamoto kwenye hii miaka ya karibuni.
Hayo mataifa uliyoyataja kwa sasa kisoka yako vizuri
Ivory Coast wamerudi baada ya kupotea hapo kati na Burkina Faso wao wapo kwenye peak kwa sasa huko patatufaa sana na hapo DRC.

Ghana niliangalia ligi yao dstv kitu kama hicho yaani ni kituko kitupu kwa kweli
Angalia medeama wale eti ndiyo mabingwa walipokuja kule CAF kundi moja na yanga, alhly ahly, CRB wakawa wa mwisho kabisa
 
Nigeria, Ghana and Cameron sio kwa kwenda kichwa kichwa
Hasa hapo Nigeria kimbia mbali

Jamaa ligi yao vituko kabisa ingawa wachezaji wazuri wapo ila wengi wapo ulaya wachache sana wapo hapo ligi ya ndani ambao tumebahatisha wazuri kweli

John noble
Benjamin Tanimu
Morris chukwu.

Vyuma hivyo
 
Hu
Hasa hapo Nigeria kimbia mbali

Jamaa ligi yao vituko kabisa ingawa wachezaji wazuri wapo ila wengi wapo ulaya wachache sana wapo hapo ligi ya ndani ambao tumebahatisha wazuri kweli

John noble
Benjamin Tanimu
Morris chukwu.

Vyuma hivyo
Huyo Benjamin Tanim, bongo bahati mbaya tu, hakutakiwa kucheza ligi ya bongo kwa kiwango kile.
Jamaa anakiwango kucheza Ligue 1.
 
Guede bado anafaa kwa matumizi ya msimu ujao!
Msimu ujao atachukua kiatu cha best Scorer..!🤸
Mdada mzuri tu ila unashabikia yanga !!!
20240626_095548.jpg
 
Hu

Huyo Benjamin Tanim, bongo bahati mbaya tu, hakutakiwa kucheza ligi ya bongo kwa kiwango kile.
Jamaa anakiwango kucheza Ligue 1.
Hivi ihefu wanatoa wapi wachezaji?

Jamaa mtu sana huyo na mwenzie chukwu
 
Kama usajili wa Okra binafs nilipinga sana, sema ndio hivyo sauti yangu haikuwafikia walengwa.
Mkuu hiyo ni kweli, mghana mwenye uwezo wa kweli huwezi mkuta ligi ya Ghana.
Hakuna alichotusaidia huyo bwege acha aende
 
Back
Top Bottom