Yanga tuachane na wachezaji wa Ghana kwa sasa ligi yetu imekua sana ...

Yanga tuachane na wachezaji wa Ghana kwa sasa ligi yetu imekua sana ...

Hivi ihefu wanatoa wapi wachezaji?

Jamaa mtu sana huyo na mwenzie chukwu
Wanigeria wamemshambulia kwa maneno makali Benjamin Tanim wa Ihefu ya Tanzania kwa madai kuwa hastahili kuchezea timu ya Taifa ya Nigeria kwa sababu anatoka ligi ya Tanzania ambayo wao wanaamini kuwa ni dhaifu Afrika eti ni ligi namba 25 kwa ubora.
 
africa nzima wachezaji wa Ghana wanazingua. wana kesi nyingi sana fifa.

Tanzania tuwapige ban kabisa .

naona azam pia wametemana na kipa wa ghana .

we should never allow Ghana players in our league period.
 
africa nzima wachezaji wa Ghana wanazingua. wana kesi nyingi sana fifa.

Tanzania tuwapige ban kabisa .

naona azam pia wametemana na kipa wa ghana .

we should never allow Ghana players in our league period.
Waghana na wanaija ni matapeli wakubwa sana wale wangetusumbua sana
 
Wa Ghana ni watu wa anasa sana.
Wavivu mno, wanapenda starehe sio watu wa kazi kabisa.
Ndo maana hata Kwa Sasa team Yao ya taifa u
Inayumba
 
Wa Ghana ni watu wa anasa sana.
Wavivu mno, wanapenda starehe sio watu wa kazi kabisa.
Ndo maana hata Kwa Sasa team Yao ya taifa u
Inayumba
Yale yale ya kina okrah na morrison
 
Back
Top Bottom