Tango73
JF-Expert Member
- Dec 14, 2008
- 2,180
- 1,291
UFUNDI WALIOUNESHA SIMBA kipindi cha kwanza hadi kufikia kupata bao la kuongoza ni tahadhali nzuri ya kujifunza kuelekea kuchukua bingwa mfululiizo. Huyu kocha wa SSC ni mzuri sana sana na inaonesha simba itaweza sana kuzifunga timu magoli mengi katika mechi zao kila watokapo uwanjani.
Hivyo kwa somo hilo Yanga inabidi kufanya ima faima kutotoka uwanjani bila ushindi wa magoli mengi katika kila mechi kujihami na uwezekano wa kupata bingwa kwa tofauti ya magoli.
Yanga ina kocha mzuri sana na mtaalamu wa kupindua meza hivyo washambuliaji wake lazima wapachike mabao mengi iwezekanavyo kila mechi wachezayo ili mwisho wa siku idadi ya magoli isije kutuanguasha.
Hivyo kwa somo hilo Yanga inabidi kufanya ima faima kutotoka uwanjani bila ushindi wa magoli mengi katika kila mechi kujihami na uwezekano wa kupata bingwa kwa tofauti ya magoli.
Yanga ina kocha mzuri sana na mtaalamu wa kupindua meza hivyo washambuliaji wake lazima wapachike mabao mengi iwezekanavyo kila mechi wachezayo ili mwisho wa siku idadi ya magoli isije kutuanguasha.