Yanga tumelala kipindi hiki cha usajili

Yanga tumelala kipindi hiki cha usajili

ngara23

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2019
Posts
9,091
Reaction score
21,087
Naona wenzetu Simba wanasajili Kwa umakini.
Mbumbumbu wamejipanga sana
Ona Sasa wamemsajili dogo ambaye kwangu ndo mchezaji Bora mzawa Valentino Mashaka.
Nasikia kesho saa 7 watamtambulisha Najim Musa wa Tabora United
Hawa wangekuwa ni replacement nzuri ya akina NKANE NA SHERHAN

Huko Kimataifa mbumbumbu wameshusha vyuma vya maana ambao Sina shaka nao ni wachezaji wazuri.

Au ndo hizo siasa za mpira wa bongo amabazo tunazisikia kuwa hizi team Huwa zinaachiana Kwa ajili ya kutupumbaza Watanganyika ili watu wale keki ya taifa .
Nina uhakika mwakani mbumbumbu ni bingwa.

Kimya cha Yanga kwenye usajili hakinifurahishi naona wanafanya kusudi.
Ona Sasa wametuletea wazee kina Chama, Dube, Baleke, Boka n.k
Huku makolo wameshusha damu changa.
Eng Hersi Said Fanya jambo kwenye usajili
 
Muombe usajili ujibu, maana hawa watu tayari walishashindwa ku shine kwa kiwango cha kushtua.
Labda kama mliwaroga wakashindwa kufanya vyema kwa Simba na Azam. Kwa CAFCL mlihitaji watu wenye kasi na fighters zaidi ya hao
 
Naona wenzetu Simba wanasajili Kwa umakini.
Mbumbumbu wamejipanga sana
Ona Sasa wamemsajili dogo ambaye kwangu ndo mchezaji Bora mzawa Valentino Mashaka.
Nasikia kesho saa 7 watamtambulisha Najim Musa wa Tabora United
Hawa wangekuwa ni replacement nzuri ya akina NKANE NA SHERHAN

Huko Kimataifa mbumbumbu wameshusha vyuma vya maana ambao Sina shaka nao ni wachezaji wazuri.

Au ndo hizo siasa za mpira wa bongo amabazo tunazisikia kuwa hizi team Huwa zinaachiana Kwa ajili ya kutupumbaza Watanganyika ili watu wale keki ya taifa .
Nina uhakika mwakani mbumbumbu ni bingwa.

Kimya cha Yanga kwenye usajili hakinifurahishi naona wanafanya kusudi.
Ona Sasa wametuletea wazee kina Chama, Dube, Baleke, Boka n.k
Huku makolo wameshusha damu changa.
Eng Hersi Said Fanya jambo kwenye usajili
Yanga anaboresha kikosi, Simba anaunda kikosi.
First 11 ya Yanga yote ipo.
 
Na usajili wa Balele mtaoufanya ndio utakuwa usajili wa kwanza kwa damu changa maana ana 23

Naskia middle yeni Khalid Aucho (43) mpo kwenye makakati wa kumuongezea mkataba wa miaka 2.

Wakati huo Skudu (34) naskia mnampa mkono wa kwa heri.
😁😁😁😁
 
Naona wenzetu Simba wanasajili Kwa umakini.
Mbumbumbu wamejipanga sana
Ona Sasa wamemsajili dogo ambaye kwangu ndo mchezaji Bora mzawa Valentino Mashaka.
Nasikia kesho saa 7 watamtambulisha Najim Musa wa Tabora United
Hawa wangekuwa ni replacement nzuri ya akina NKANE NA SHERHAN

Huko Kimataifa mbumbumbu wameshusha vyuma vya maana ambao Sina shaka nao ni wachezaji wazuri.

Au ndo hizo siasa za mpira wa bongo amabazo tunazisikia kuwa hizi team Huwa zinaachiana Kwa ajili ya kutupumbaza Watanganyika ili watu wale keki ya taifa .
Nina uhakika mwakani mbumbumbu ni bingwa.

Kimya cha Yanga kwenye usajili hakinifurahishi naona wanafanya kusudi.
Ona Sasa wametuletea wazee kina Chama, Dube, Baleke, Boka n.k
Huku makolo wameshusha damu changa.
Eng Hersi Said Fanya jambo kwenye usajili
Unaonekana wewe ni mgeni na sajili za bongo, subiri ligi ianze atleast mechi kama tano ndipo uanze kutoa hizo sifa.

Halafu sio lazima kila msimu usajili mijitu mingi tatizo mpira wetu unakelele nyingi kuliko, uhalisia. Kwangu Yanga hata akitambulisha watu wawili striker na winga inatosha.

Halafu hamna mashindano kila mtu anasajili kutoka na uhitaji wake na kwa muda wake kwani kuna mda mwingi wa kusajili .Mahitaji ya Yanga ni tofauti na 5imba,Yanga inahitaji maboresho madogotu,ila 5imba wanaanza from the scratch na ndio maana wanapresha sana sababu wanajijua timu hawana.

Kwani msimu uliopita hiyo 5imba ilitambulisha wachezaji wangapi ,je leo wapo wapi?

Ushajiuliza hao wachezaji watafiti kwenye mfumo wa huyo kocha mpya,sababu yy hajawapendekeza.
 
Makolo akili hawana,yanga anaboresha timu sehemu zenye mpungufu ila simba inaunda kikosi kizima maana hawana timu ilikuwa na kikundi cha singeli tu.
 
Back
Top Bottom