Yanga tusichukulie poa ubingwa wa Ligi, Sioni mnyama akiachia point yoyote kwa mechi 4 zilizobaki, hakuna namna kushinda mechi 3 zijazo

Yanga tusichukulie poa ubingwa wa Ligi, Sioni mnyama akiachia point yoyote kwa mechi 4 zilizobaki, hakuna namna kushinda mechi 3 zijazo

NetMaster

JF-Expert Member
Joined
Sep 12, 2022
Posts
1,454
Reaction score
4,925
Hali ilivyo kuwa jana imeharibu mipango mingi mno, kwa sasa namna pekee ya kulitetea kombe la ligi kuu ni kushinda mecho 3 kati ya nne, nje ya hapo tusubirie maumivu, yapasa tukaze kweli kweli tusilete masikhara hata michezo ya nje ifanyike poa tu, kinachokumbukwa ni michezo ya nje au ubingwa ??

Malengo yawe juu tukifeli basi iwe mecho 2 draw na 2 tushinde, or elseee ??

Kwa mechi 3 za ugenini hasa kule Mbeya naanza kuona ni dhahiri kabisa zilipangwa kwa maksudi ziwe mwishoni mwa ligi

1681754874230.png
 
Figisu itembeeee three matches ziondoke na zero point🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Figisu itembeeee three matches ziondoke na zero point🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Nikwambie tu kwamba linapokuja suala la mechi za ugenini Yanga huwa inashirikisha sana wadau wa mikoa hiyo ndio maana Yanga inashinda sana mikoani, ni tofauti na Simba wao wanashirikisha kidogo watu wa mikoani kuwa sehemu ya wachezaji wa nje,

Ila kiufupi ligi imepata ladha hapa, points za kupishan zimekuwa chache na aliemzidi mwenzake ana mechi kama 2 hivi dume
 
Lolote linaweza kutokea....mpira una matokeo ya kibabe sanà
 
Nikwambie tu kwamba linapokuja suala la mechi za ugenini Yanga huwa inashirikisha sana wadau wa mikoa hiyo ndio maana Yanga inashinda sana mikoani, ni tofauti na Simba wao wanashirikisha kidogo watu wa mikoani kuwa sehemu ya wachezaji wa nje,

Ila kiufupi ligi imepata ladha hapa, points za kupishan zimekuwa chache na aliemzidi mwenzake ana mechi kama 2 hividume
umemalizia vizuri
 
Dah ila ikatokea kweli utopolo wakakosa ubingwa hapo jangwani patachimbika [emoji2][emoji2][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Back
Top Bottom