ngara23
JF-Expert Member
- Aug 31, 2019
- 9,091
- 21,087
Mchezo ulikuwa mzuri
Mchezo umetuachia somo
Huko mbele tunapoenda tucheze vipi
Majeruhi ya Aucho, Mzizie na Boka yametugharimu sana
Coach ni mzuri nadhani hajaijua timu vizuri anahitaji muda
Yanga kawaida mechi za kimataifa Huwa tunafanya vyema ugenini zaidi
Tushikamane wananchi
Tutashinda game zijazo
Wale wanaoshiriki mashindano ya akina mama msimalize maneno
Yanga bingwa
Mchezo umetuachia somo
Huko mbele tunapoenda tucheze vipi
Majeruhi ya Aucho, Mzizie na Boka yametugharimu sana
Coach ni mzuri nadhani hajaijua timu vizuri anahitaji muda
Yanga kawaida mechi za kimataifa Huwa tunafanya vyema ugenini zaidi
Tushikamane wananchi
Tutashinda game zijazo
Wale wanaoshiriki mashindano ya akina mama msimalize maneno
Yanga bingwa