Yanga tutarudi imara zaidi

Yanga tutarudi imara zaidi

Majeruhi ya Aucho, Mzizie na Boka yametugharimu sana
Mechi ya Tabora Boys mlisema kukosekana kwa Baka na Dickson kumewagharimu. Leo wamecheza, unataja wengine. Basi kauli kama hizi tutaendelea kuzisikia maana si rahisi kuwa na wachezaji wote 30 wakawa katika uwezo wa kutumika
 
FB_IMG_17324438924885379_2.jpg
 
Mchezo ulikuwa mzuri

Mchezo umetuachia somo

Huko mbele tunapoenda tucheze vipi

Majeruhi ya Aucho, Mzizie na Boka yametugharimu sana

Coach ni mzuri nadhani hajaijua timu vizuri anahitaji muda

Yanga kawaida mechi za kimataifa Huwa tunafanya vyema ugenini zaidi

Tushikamane wananchi
Tutashinda game zijazo

Wale wanaoshiriki mashindano ya akina mama msimalize maneno

Yanga bingwa
Yanga inatibu mguu badala ya kichwa,yanga haitasimama kamwe Hadi injinia atakapo acha kiburi na kuamua kuwashirikisha wale waliomsaidia kupata ubingwa kipindi yanga ipo dhohofu kwa miaka minne hao naamini wanamajibu.
 
Mchezo ulikuwa mzuri

Mchezo umetuachia somo

Huko mbele tunapoenda tucheze vipi

Majeruhi ya Aucho, Mzizie na Boka yametugharimu sana

Coach ni mzuri nadhani hajaijua timu vizuri anahitaji muda

Yanga kawaida mechi za kimataifa Huwa tunafanya vyema ugenini zaidi

Tushikamane wananchi
Tutashinda game zijazo

Wale wanaoshiriki mashindano ya akina mama msimalize maneno

Yanga bingwa
Mzee huu ni unafiki,uzuri wa kocha umejuaje?
Halafu unasema mtarudi kutoka wapi ?
 
Mchezo ulikuwa mzuri

Mchezo umetuachia somo

Huko mbele tunapoenda tucheze vipi

Majeruhi ya Aucho, Mzizie na Boka yametugharimu sana

Coach ni mzuri nadhani hajaijua timu vizuri anahitaji muda

Yanga kawaida mechi za kimataifa Huwa tunafanya vyema ugenini zaidi

Tushikamane wananchi
Tutashinda game zijazo

Wale wanaoshiriki mashindano ya akina mama msimalize maneno

Yanga bingwa
Sisi tunaojua Mpira tunajua yanga atarudi njia kuu mda si mrefu kwasababu tatizo la yanga kwa sasa linarekebishika na litapatiwa ufumbuzi mda si mrefu
 
Mlitabiri Simba haitashinda game 5 mfululizo mkasahau kutabiri timu yenu itafungwa game 3 mfululizo, na kuendelea.

Yanga hiyo unayosema inafanya vizuri ugenini ni ipi hiyo? Msimu uliopita mlifungwa na CRB na Al Ahly, mkatoka droo na wale waghana. Mkatoka droo na Mamelodi. Hamkushinda mechi hata moja ugenini.
Kwani yanga alipoteza mechi ngapi ugenini tuanzie hapo!
 
Kwani yanga alipoteza mechi ngapi ugenini tuanzie hapo!
Soma tena nilichoandika utaweza kujijibu swali lako.

Mnaenda kufungwa tena na wale waarabu wengine hapo hapo kwa Mkapa. Msimu wenu ushaisha, ndani na kimataifa.
 
Soma tena nilichoandika utaweza kujijibu swali lako.

Mnaenda kufungwa tena na wale waarabu wengine hapo hapo kwa Mkapa. Msimu wenu ushaisha, ndani na kimataifa.
Na nyie vip kwenye mashindano ya akina mama
 
Mchezo ulikuwa mzuri

Mchezo umetuachia somo

Huko mbele tunapoenda tucheze vipi

Majeruhi ya Aucho, Mzizie na Boka yametugharimu sana

Coach ni mzuri nadhani hajaijua timu vizuri anahitaji muda

Yanga kawaida mechi za kimataifa Huwa tunafanya vyema ugenini zaidi

Tushikamane wananchi
Tutashinda game zijazo

Wale wanaoshiriki mashindano ya akina mama msimalize maneno

Yanga bingwa
Maisha yanaenda kasi sana! Sisi ndiyo wa kuishi kwa matumain kama makolo😂😀
 
Soma tena nilichoandika utaweza kujijibu swali lako.

Mnaenda kufungwa tena na wale waarabu wengine hapo hapo kwa Mkapa. Msimu wenu ushaisha, ndani na kimataifa.
Sasa wewe uongelei Mpira bali unaleta siasa kwenye Mpira huo msimu ulioisha labda kama Mangungu na Try again ndio wameumaliza
 
Back
Top Bottom