Yanga tutarudi imara zaidi

Yanga tutarudi imara zaidi

Mchezo ulikuwa mzuri
Mchezo umetuachia somo
Huko mbele tunapoenda tucheze vipi
Majeruhi ya Aucho, Mzizie na Boka yametugharimu sana
Coach ni mzuri nadhani hajaijua timu vizuri anahitaji muda
Yanga kawaida mechi za kimataifa Huwa tunafanya vyema ugenini zaidi

Tushikamane wananchi
Tutashinda game zijazo

Wale wanaoshiriki mashindano ya akina mama msimalize maneno

Yanga bingwa
Miaka motano mbele labda. Maana msimu ukiisha litimu litasambaratika na wachezaji wazuri wataondoka 🤣🤣🤣🤣
 
Mchezo ulikuwa mzuri
Mchezo umetuachia somo
Huko mbele tunapoenda tucheze vipi
Majeruhi ya Aucho, Mzizie na Boka yametugharimu sana
Coach ni mzuri nadhani hajaijua timu vizuri anahitaji muda
Yanga kawaida mechi za kimataifa Huwa tunafanya vyema ugenini zaidi

Tushikamane wananchi
Tutashinda game zijazo

Wale wanaoshiriki mashindano ya akina mama msimalize maneno

Yanga bingwa
Naskia mna mpango wa kuhama uwanja wa kwa mkapa
 
We mjinga ulikua unasema yanga inacheza mpira mzuri kuzidi timu za ulaya mara CAF ni Bora kuliko UEFA nikakuambia hivi unaakili timamu kweli yaani ulishupaza shingo eti ulaya hamna mpira haya huo ndio mpira sio jinga kabisa mijitu mieusi waga mibishi sana dizaini yako
 
Mchezo ulikuwa mzuri
Mchezo umetuachia somo
Huko mbele tunapoenda tucheze vipi
Majeruhi ya Aucho, Mzizie na Boka yametugharimu sana
Coach ni mzuri nadhani hajaijua timu vizuri anahitaji muda
Yanga kawaida mechi za kimataifa Huwa tunafanya vyema ugenini zaidi

Tushikamane wananchi
Tutashinda game zijazo

Wale wanaoshiriki mashindano ya akina mama msimalize maneno

Yanga bingwa
Naskia mna mpango wa kuhama uwanja wa kwa mkapa
 
IMG-20241126-WA0077.jpg
 
Apo chini nmecheka kwenye yanga bingwa😁
Hizi game zote zinazofuata naona kabisa Yanga anachezea kichapo Yanga mbele majanga hana wa kufunga nyuma majanga mabeki wametepeta katikati majanga yaan mpaka huruma
Screenshot_20241126-211812.png


Kongfu Masta alisemaje vile?
455662.jpg
 
Nyingine hii mbumbumbu wewe yaani unafananisha mpira wa Europe na hii ya michangani
 

Attachments

  • Screenshot_20241126-211844.jpg
    Screenshot_20241126-211844.jpg
    180.2 KB · Views: 1
Mchezo ulikuwa mzuri
Mchezo umetuachia somo
Huko mbele tunapoenda tucheze vipi
Majeruhi ya Aucho, Mzizie na Boka yametugharimu sana
Coach ni mzuri nadhani hajaijua timu vizuri anahitaji muda
Yanga kawaida mechi za kimataifa Huwa tunafanya vyema ugenini zaidi

Tushikamane wananchi
Tutashinda game zijazo

Wale wanaoshiriki mashindano ya akina mama msimalize maneno

Yanga bingwa
Wasalam walekum shekhe,
Ivi kesho mpanzu master anacheza mazee natanguliza shukrani kwenu🖖
 
Sasa kama hao waarabu Koko wanaicharaza hiyo yanga uliyokua unaisifia eti inazifunga timu za ulaya he ikikutana na timu ligi daraja la 6 uingereza si itapigwa 10🤣🤣🤣🤣🤣
 

Attachments

  • Screenshot_20241126-211917.jpg
    Screenshot_20241126-211917.jpg
    188.9 KB · Views: 1
Back
Top Bottom