ngara23
JF-Expert Member
- Aug 31, 2019
- 9,091
- 21,087
- Thread starter
- #21
Kacheze mashindano yenu ya akina mamaMlitabiri Simba haitashinda game 5 mfululizo mkasahau kutabiri timu yenu itafungwa game 3 mfululizo, na kuendelea.
Yanga hiyo unayosema inafanya vizuri ugenini ni ipi hiyo? Msimu uliopita mlifungwa na CRB na Al Ahly, mkatoka droo na wale waghana. Mkatoka droo na Mamelodi. Hamkushinda mechi hata moja ugenini.