mpira umeanza kufatilia lini?Haipo na haitatokea
Yanga hii tunafungwajeee🎶 tunafungwajeee🎶Akina mama Leo mnatamba kama hamkufungwa 5
jibu maswalí dogoTulia kolo
Leta timu lako
Kesho wanaume wanacheza achana na kina mama J wa leo wamepigwa matobo hovyo...hahahaMashindano ya akina mama ni lini
Nahitaji kuona warembo wa Simba
,😆View attachment 3162492
Bila kayoko na masindano utopolo ni pamba jiji iliochangamka
Timu yangu ni Tabora United njoo nikutoe manunduLeta timu lako nilipige 5