mahindi hayaoti mjini
JF-Expert Member
- Nov 29, 2022
- 2,120
- 2,709
Azam yuko east afrika nyieee, soko la hapa ni dogo sana nendeni drc, sudan nk
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapa ndiyo utajua kuwa wanayanga wote ni hamnazoViongozi wa Matawi ya Yanga wamesema watavunja mkataba na Azam kama ikijulikana walihusika kumshawishi mchezaji wao Feisal salum kuvunja mkataba.
View attachment 2460975
Nilipokataa kushabikia timu za Kariakoo nilitaka kujiepusha na akili kama hizi.Viongozi wa Matawi ya Yanga wamesema watavunja mkataba na Azam kama ikijulikana walihusika kumshawishi mchezaji wao Feisal salum kuvunja mkataba.
View attachment 2460975
not two different entities but two affiliated entitiesHii nchi ina watu milion 60 kuna watu wako huko ileje au tandahimba bidhaa zilizoko huko ni afadhili za Azam zinapatikana.
Hao walioko Dar ni mafukara waliopewa mdomo WA kuongea Ila hawana huo uwezo. Watoe ving'amuzi vyao Leo.
NB: wanachokifanya hapo ni kosa kisheria Issue ya Faisal toto ni Azam FC Ila wanaenda kupaka matope biashara zingine za Azam ( Two different entities).... Wakipelekwa mahakamani msianza kuja hapa kuwaombea misamaha
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Azam football club ni ya Yusuf Bakhrresanot two different entities but two affiliated entities
Hawezi kukuelewa, huyo anaweza kukwambia Mo energy na maji ya masafi ni vitu viwili tofauti.not two different entities but two affiliated entities
Hujui hata Sheria za kampuni zinasemaje wewe kilaza! Mfano ulioutoa hauna mahusiano na nilichoongeaHawezi kukuelewa, huyo anaweza kukwambia Mo energy na maji ya masafi ni vitu viwili tofauti.
Yusuf amepata wapi pesa?
Hawa nani anawashauri? Yanga nayo imekuwa Marekani inaiwekea vikwazo Russia? Mbona hawana nguvu wala uwezo huo?Viongozi wa Matawi ya Yanga wamesema watavunja mkataba na Azam kama ikijulikana walihusika kumshawishi mchezaji wao Feisal salum kuvunja mkataba.
View attachment 2460975
Hujui hata Sheria za kampuni zinasemaje wewe kilaza! Mfano ulioutoa hauna mahusiano na nilichoongea
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Watu wakiamuwa kumaliza utawala wako wanaumaliza, ni vizuri ukiendelea kula na vipofu usiwachukulie powa.SSB hauwezi kumkimbia ,katawala soko lote.
SSB hauwezi kumkimbia ,katawala soko lote.
Yusuf amepata wapi pesa?