Yanga: Tutavunja mkataba na Azam

not two different entities but two affiliated entities
 
Hapo ndo nakumbuka kauli ya Haji Manara, Pale Yanga watu wenye akili ni wawili tu Mzee JK na Sunday Manara basi
 
Wazee wa Dasalamu😄😄😄😄msiwachukukue poa kabisa. Huwa wanatangulizwa hawa. Azam wajiangalie
 
Yusuf amepata wapi pesa?

Kwa hiyo ukipewa hela na nmb hiyo kampuni inakuwa ni ya nmb ,Jinga wewe. Kichwa kimejaa mlenda!

Nenda kasome sheria kampuni halafu uje kutapika. Wenzako walipokuwa wanasoma hivi vitu ulikuwa Unawinda ndege porini.

Halafu unajua kuendesha kampeni za boycotting Kwa kampuni ni kosa la defamation? Msije mkaburuzwa mahakamani mkaanza kutia huruma

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…