Yanga: Tutavunja mkataba na Azam

Kwahiyo mechi za NBC premier League mtasikiliza tu TBC fm?
 
Sasa yanga kuingia makundi Ina uhusiano gani na Azam? Azam hana haki ya kuonyesha michuono ya caf hatua ya makundi ndiomaana unaona Ile michuono kupitia zbc2
 
Sasa yanga kuingia makundi Ina uhusiano gani na Azam? Azam hana haki ya kuonyesha michuono ya caf hatua ya makundi ndiomaana unaona Ile michuono kupitia zbc2
Huna akili, maudhui yote ya Yanga ni Mali ya Azzam.
 
Viongozi wa Matawi ya Yanga wamesema watavunja mkataba na Azam kama ikijulikana walihusika kumshawishi mchezaji wao Feisal salum kuvunja mkataba.

View attachment 2460975
Hilo ndio waswahili tunaweza… domodomo na lopolopo

They don’t even know how clubs are run

Wakitoka hspo wanakwenda kugongesha
 
Crap
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…