Viongozi wa Matawi ya Yanga wamesema watavunja mkataba na Azam kama ikijulikana walihusika kumshawishi mchezaji wao Feisal salum kuvunja mkataba.
View attachment 2460975
Kwahiyo mechi za NBC premier League mtasikiliza tu TBC fm?Weka ushabiki pembeni, Yanga na Azzam ni business partners, Sasa partner mmoja akijifanya mjuwaji si vibaya kumuonesha option kama nasi tunaweza kufanya hivi.
Tena hakuna uhamisho rahisi wa kuchukuwa mchezaji wa Yanga kama Azzam kama wanahitaji, lakini mtu akikupiga ngumi ya sikio na wewe mtandike ngumi ya jicho.
Dawa ya jeuri ni kiburi na siyo vinginevyo.
Dstv INA uwezo pia wa kuvunja mkataba wa Yanga na Azzam wakaingia mkataba wao wa maudhui yote ya Yanga, na usisahau Yanga imeingia kwenye makundi ni faida kwa Azzam halafu unakuja kuihujumu Yanga hiyohiyo na bado uchekewe?
Wanasusia MAANDAZIMashabiki maandazi.
Sasa yanga kuingia makundi Ina uhusiano gani na Azam? Azam hana haki ya kuonyesha michuono ya caf hatua ya makundi ndiomaana unaona Ile michuono kupitia zbc2Weka ushabiki pembeni, Yanga na Azzam ni business partners, Sasa partner mmoja akijifanya mjuwaji si vibaya kumuonesha option kama nasi tunaweza kufanya hivi.
Tena hakuna uhamisho rahisi wa kuchukuwa mchezaji wa Yanga kama Azzam kama wanahitaji, lakini mtu akikupiga ngumi ya sikio na wewe mtandike ngumi ya jicho.
Dawa ya jeuri ni kiburi na siyo vinginevyo.
Dstv INA uwezo pia wa kuvunja mkataba wa Yanga na Azzam wakaingia mkataba wao wa maudhui yote ya Yanga, na usisahau Yanga imeingia kwenye makundi ni faida kwa Azzam halafu unakuja kuihujumu Yanga hiyohiyo na bado uchekewe?
Huna akili, maudhui yote ya Yanga ni Mali ya Azzam.Sasa yanga kuingia makundi Ina uhusiano gani na Azam? Azam hana haki ya kuonyesha michuono ya caf hatua ya makundi ndiomaana unaona Ile michuono kupitia zbc2
Hilo ndio waswahili tunaweza… domodomo na lopolopoViongozi wa Matawi ya Yanga wamesema watavunja mkataba na Azam kama ikijulikana walihusika kumshawishi mchezaji wao Feisal salum kuvunja mkataba.
View attachment 2460975
CrapWeka ushabiki pembeni, Yanga na Azzam ni business partners, Sasa partner mmoja akijifanya mjuwaji si vibaya kumuonesha option kama nasi tunaweza kufanya hivi.
Tena hakuna uhamisho rahisi wa kuchukuwa mchezaji wa Yanga kama Azzam kama wanahitaji, lakini mtu akikupiga ngumi ya sikio na wewe mtandike ngumi ya jicho.
Dawa ya jeuri ni kiburi na siyo vinginevyo.
Dstv INA uwezo pia wa kuvunja mkataba wa Yanga na Azzam wakaingia mkataba wao wa maudhui yote ya Yanga, na usisahau Yanga imeingia kwenye makundi ni faida kwa Azzam halafu unakuja kuihujumu Yanga hiyohiyo na bado uchekewe?
Rubbish.Crap
🤣🤣🤣Hao mafukara waache kununua maandazi, mikate, unga, majibya kunnywa, nazi, king'amuzi, na huduma zingine nyingi Kwa utajiri gani walionao
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Thubutu, yale ya caf kuanzia hatua ya makundi azam hana haki nayo punguani wewe, kama vitu hujui uliza, ushaona wakirusha kwenye azam sports hd?Huna akili, maudhui yote ya Yanga ni Mali ya Azzam.