Yanga usajili wote huo mnakwenda kuweka kambi Bigwa, Morogoro, kweli nyie ni wa kimataifa au wa hapa hapa?

Yanga usajili wote huo mnakwenda kuweka kambi Bigwa, Morogoro, kweli nyie ni wa kimataifa au wa hapa hapa?

👇😁😁😁
 
Ukiondoa kick hakuna hoja ya msingi mwaka huu kuweka lambi nje ya nchi.
1. Wachezaji muhimu wako Taifa stars ni ngumu Kujiunga na hiyo kambi. Na hats wakienda watakuwepo si zaidi ya siku 2
2. Muda umekuwa finyu. Hao wachambuzi wanasema pre-season inatakiwa iwe wiki 6
3. Uchovu wa safari
4. Baada ya Kiatu cha George Mpole, si tulikubaliana tupende vya ndani au Basi?
 
Na ile ya Kambi ya Uturuki ni kama vile jamaa kafanya booking lodge au hoteli halafu baadae Demu anasema hawezi kutoka babaake amerudi nyumbani.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mbavu zangu mie.
 
Kuna mkakati wa makusudi unafanywa na baadhi ya wachambuzi kuisema vibaya Simba na kuiunga mkono Yanga hata inapoenda mrama, we timu imefanya usajili wa kufa mtu, msimu huu inakwenda kubahatisha tena ligi ya mabingwa afrika ndio maana wanaomba CAF waanzie ugenini ili wapate mteremko, halafu mnakwenda Bigwa kweli pre season.

Simba wako very strategic, Azam nao hivyo, timu za kaskazini zimekuwa zikitusumbua sana, dawa yao ni kwenda huko huko kwao kwenye pre season ili tujifunze wanafanyaje fanyaje had wanatupiga miguu ya bajaj au kifurushi? Simba inakwenda kucheza mechi za kirafiki na Ismailia na Pyramids, pamoja na national team ya under 20.Hayo ndio mambo.

Sio unamtoa mtu ivory Coast umevunja kibubu halafu unakwenda Morogoro, ukacheze na mtibwa na moro United.

Hayo yote wachambuzi feki wamekaa kimya kumuogopa mzungu pori na Rais wao, shame on you.
Hivi Hawa wachambuzi maandazi,nikwamba utoporo huwa wanawatembezea bahasha za kaki au!? Maana wao kutwa kuisifia yanga na kuiponda Simba
 
Ushindi wa utopolo hautokani na mazoezi,kambi nje ya nchi na wala coach wanayemwita professor kwani hadi sasa hata hawajampa mkataba ijapo ule was awali umeisha.

Ushindi wa utopolo unatokana na wazee wa Lindi na pesa chafu ambazo wachambuzi wengine wananunuliwa viatu na suti za blue za kupiga nazo picha insta.
Kazurureni Uturuki mashindano yakianza muendelee kuwasha moto uwanjani.
 
Back
Top Bottom