Yanga Vs Mo Bejaia: Yanga yashinda 1 - 0 Mo Bejaia

Yanga Vs Mo Bejaia: Yanga yashinda 1 - 0 Mo Bejaia

well done kandambili, hamkutuaubisha kama kawaida yenu
 
Yanga 1 MO Bejaia 0

Naamini kocha na wachezaji wanaendelea kupata uzoefu na kujifunza
 
hatimaye yanga tumetoka kifua mbele, ila huyu chirwa kasababisha tuondoke na ushindi kiduchu, ingekuwa mechi za mchangani huyu jamaa tungekuwa tunaongea mengine
 
hatimaye yanga tumetoka kifua mbele, ila huyu chirwa kasababisha tuondoke na ushindi kiduchu, ingekuwa mechi za mchangani huyu jamaa tungekuwa tunaongea mengine
Ila jamaa fighter sana sema tu hatulii mbele ya lango
 
Matumaini ya kusonga mbele kiduchu!, Ushindi wa leo unatupa ka-heshima Fulani ka kuzururia mjini!. cc: Nifah
 
Back
Top Bottom