Yanga vs Rivers United (0-1) | CAFCL | Uwanja wa Mkapa Dar es Salaam

Yanga ni nzuri wakikutana na timu mbovu
 
acheni ufara hiombeeni timu inayowakilisha taifa lenu
Tulishaziombea Azam na Biashara na tayari Mungu alishasikia maombi yetu.
Hawa unaowataka wewe walijiandaa kwa ajili ya Tamasha tu na sio maandalizi ya timu. Mungu alishalibariki Tamasha akaja Kofii Olomide na Haji wakatumbuiza. Inatosha.

Okwa Kapumbu tayari kashatoboa tundu huko.
 
yanga hamna kitu wanaikamiaga simba tu lkn kweny kimataifa zero kbs
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…