Yanga vs Rivers United (0-1) | CAFCL | Uwanja wa Mkapa Dar es Salaam

H 9M
Haya ndio matokeo unamlipa msemaji wa timu M9 na mchezaji Laki 7
 
Manara alikuwa anacheka, ila barakoa ilifanya tusione kicheko chake
 
Kuna kuweza kucheza mpira na kuweza kufunga au bahati ya kufunga. Kaseke angechomowa ule mwiko hakika. Bahati na utulivu golini anao
 
Kuna kuweza kucheza mpira na kuweza kufunga au bahati ya kufunga. Kaseke angechomowa ule mwiko hakika. Bahati na utulivu golini anao
Embu mzee kua na akili basi

Yanga sajilini wachezaji wa maana
Futa mentality ya kwamba ile ni ligi kuu ile ni CL kaseke atafanya nini? Angalia ubora wa yanga kwenye rank ...angalia stats za mchezaji last season tena sio CL bali ligi kuu tz alikua ana magoli mangap?

Utulivu kama angekua anao angekua ana decent goal number
Sasa kama tu polisi tanzania anahangaishana nao unafikiri CL itakuaje? Embu changamka basi uto..
Na huu mwiko wa leo bado tu hamzibuki huko nyuma
 
-Feisal Salum clear chance to score
-Yusuph Athuman one against one with goalkeeper
-Makambo two unlucky chances

-Zawadi Mauya poor mildified defending
-No threat movements for Ducapel Moloko
-Lack of clear penetration passes
-Lack of sure creative mildifieder

Football refer to a game of mistakes
One mistake, One goal

Unlucky day for Yanga
Let's go back champions
First leg is for them but second leg is for us with more goals
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…