Hahaha huu ugonjwa haujaisha kwa uto kwakweliWazee wa off target kama iran
Leo yanga wanaliahibisha taifa leoYacouba nae anakuwaga na wenge sijui
Uzalendo ni kuangalia mechi ila yimu ya kushangilia uzalendo hamna😂Kuwa mzalendo mkuu😜
Aibu ya duniawamekimbia wote wamemuacha financial services pekeyake.
Yes babe! Wewe ni Simba? If yes nakuacha[emoji3]
HahahahhaLeo yanga wanaliahibisha taifa leo
Hahahahaha engineer ni Tapeli vibaya yule jamaaKhaa! Kumbe refa ni msomali
Ndo maana!
Injinia keshamkabidhi gunia la mirungi