Smart codetz
JF-Expert Member
- Jan 25, 2023
- 218
- 875
Hili ndo basi wamepewa Yanga SC na wenyeji wao huko nchini Nigeria kwa ajili ya matumizi wakiwa nchini humo kwa ajili ya mchezo wa CAF confederation dhidi ya Rivers hapo kesho.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Timu imelalamika wapi? Unamjuwa msemaji wa Yanga?Timu hii imezoea malalamiko dah
Kwani bus litacheza au watachezea ndani ya bus?Hili ndo basi wamepewa Yanga SC na wenyeji wao huko nchini Nigeria kwa ajili ya matumizi wakiwa nchini humo kwa ajili ya mchezo wa CAF confederation dhidi ya Rivers hapo kesho.
View attachment 2596550
Kwahiyo Yanga washindwe kukodi basi huko Naija hadi wapewe na mwenyeji? Huu uzushi unakusaidia nini?Hili ndo basi wamepewa Yanga SC na wenyeji wao huko nchini Nigeria kwa ajili ya matumizi wakiwa nchini humo kwa ajili ya mchezo wa CAF confederation dhidi ya Rivers hapo kesho.
View attachment 2596550
Gari ndio uwanja? Fuateni kilichowapelekaHili ndo basi wamepewa Yanga SC na wenyeji wao huko nchini Nigeria kwa ajili ya matumizi wakiwa nchini humo kwa ajili ya mchezo wa CAF confederation dhidi ya Rivers hapo kesho.
View attachment 2596550
Kwani hilo gari ndio linaingia uwanjani kucheza au kaz yake kuwabeba.Hili ndo basi wamepewa Yanga SC na wenyeji wao huko nchini Nigeria kwa ajili ya matumizi wakiwa nchini humo kwa ajili ya mchezo wa CAF confederation dhidi ya Rivers hapo kesho.
View attachment 2596550
Msemaji wenu ni yupi?Timu imelalamika wapi? Unamjuwa msemaji wa Yanga?
Au unadhani Yanga ni kama club ya komoni tu mtu yoyote anaweza kuisemea?