Yanga wafanyiwa figisu, wapewa gari bovu Nigeria

Yanga wafanyiwa figisu, wapewa gari bovu Nigeria

Smart codetz

JF-Expert Member
Joined
Jan 25, 2023
Posts
218
Reaction score
875
Hili ndo basi wamepewa Yanga SC na wenyeji wao huko nchini Nigeria kwa ajili ya matumizi wakiwa nchini humo kwa ajili ya mchezo wa CAF confederation dhidi ya Rivers hapo kesho.

CEBD9622-026B-41E9-B6AF-CB0C39BF9C14.jpeg
 
Hili ndo basi wamepewa Yanga SC na wenyeji wao huko nchini Nigeria kwa ajili ya matumizi wakiwa nchini humo kwa ajili ya mchezo wa CAF confederation dhidi ya Rivers hapo kesho.

View attachment 2596550
Kwani hilo gari ndio linaingia uwanjani kucheza au kaz yake kuwabeba.

Sasa kwa taarifa yenu mnapigwa Nigeria na gari bovu mmepanda halafu na kwa Mkapa mnapigwa mkiwa kwenye gari lenu. Sijui mtasingizia nini
😂😂😅
 
Hiyo ndio itawatia hasira na watapambana zaidi,nawatakia kila la kheri
 
Back
Top Bottom