Tetesi: Yanga wajutia kuwapa mkataba Sead Ramovic na Moallin,waanza mazungumzo na Patrick Aussems aliyetimuliwa Singida Big Stars

Tatizo ni Utopolo ni uongozi wa juu kuokota okota wastaafu wetu na kutoka kwingine bila kumshirikisha kocha
 
Ishu ya Dube Day umeiongelea in negative perspective ungeongelea basi na in Positive perspective kama ilivyokuwa Pacome Day Yanga vs CR Belouzdad
 
Ishu ya Dube Day umeiongelea in negative perspective ungeongelea basi na in Positive perspective kama ilivyokuwa Pacome Day Yanga vs CR Belouzdad
Iongelee wewe in that way mkuu, inawezekana una hoja na kwangu mimi 'Dube Fay' nimeitolea mfano, kihalsia maana Yangu kuitangaza siku kuwa ni ya mchezaji fulani hiyo ni kumshinikiza kocha kumpanga. Angalau kocha ndiye angekuwa anaamua hizo players day. Ukumbuke hata Gamondi aliwahi kuupinga utaratibu huo
 
Ila Aziz ananifurahishaga akiwa Bench, unaweza sema yeye ndo Kocha mkuu. Lol
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ila Aziz ananifurahishaga akiwa Bench, unaweza sema yeye ndo Kocha mkuu. Lol
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Anaelekeza vilivyomshinda
 
Uchebe atua jangwani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…