LIKUD
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 18,037
- 33,681
Haichukui nafasi ya daktari lakini kusema ukweli Yanga wameanza kuonyesha matumaini. Huenda wakaingia robo fainali kwa kushinda mechi zote 3 zilizo baki huku ikitegemea na matokeo ya mechi nyingine.
Mechi ijayo ya Yanga na Mazembe kwa Mkapa uwanja utajaa sana mashabiki kwenda kuipa sapoti timu yao. Tuombe usiku leo Ibenge Fc washinde pamoja na mechi ya marudiano
Mechi ijayo ya Yanga na Mazembe kwa Mkapa uwanja utajaa sana mashabiki kwenda kuipa sapoti timu yao. Tuombe usiku leo Ibenge Fc washinde pamoja na mechi ya marudiano