Yanga wameanza kuonyesha matumaini

Yanga wameanza kuonyesha matumaini

LIKUD

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2012
Posts
18,037
Reaction score
33,681
Haichukui nafasi ya daktari lakini kusema ukweli Yanga wameanza kuonyesha matumaini. Huenda wakaingia robo fainali kwa kushinda mechi zote 3 zilizo baki huku ikitegemea na matokeo ya mechi nyingine.

Mechi ijayo ya Yanga na Mazembe kwa Mkapa uwanja utajaa sana mashabiki kwenda kuipa sapoti timu yao. Tuombe usiku leo Ibenge Fc washinde pamoja na mechi ya marudiano
 
Haichukui nafasi ya daktari lakini kusema ukweli Yanga wameanza kuonyesha matumaini. Huenda wakaingia to go fainali kwa kushinda mechi zote 3 zilizo baki huku ikitegemea na matokeo ya mechi nyingine.

Mechi ijayo ya Yanga na Mazembe kwa Mkapa uwanja utajaa sana mashabiki kwenda kuipa sapoti timu yao. Tuombe usiku leo Ibenge Fc washinde pamoja na mechi ya marudiano
Kama ni mgonjwa leo kanywa uji?😂😂
 
Haichukui nafasi ya daktari lakini kusema ukweli Yanga wameanza kuonyesha matumaini. Huenda wakaingia to go fainali kwa kushinda mechi zote 3 zilizo baki huku ikitegemea na matokeo ya mechi nyingine.

Mechi ijayo ya Yanga na Mazembe kwa Mkapa uwanja utajaa sana mashabiki kwenda kuipa sapoti timu yao. Tuombe usiku leo Ibenge Fc washinde pamoja na mechi ya marudiano
Ili Yanga iwe na uhakika wa kufuzu na asiwe omba omba wa kutaka matokeo ya wenzake yawe vipi ni lazima ashinde mechi zake zote tatu zilizobakia. Tarehe 3 anacheza taifa dhidi ya Mazembe na tarehe 10 ni dhidi ya Al Hilal. Hizo mechi mbili zinazofuata ni lazima ashinde kwanza.
 
Ili Yanga iwe na uhakika wa kufuzu na asiwe omba omba wa kutaka matokeo ya wenzake yawe vipi ni lazima ashinde mechi zake zote tatu zilizobakia. Tarehe. 3 anacheza taifa dhidi ya Mazembe na tarehe 10 ni dhidi ya Al Hilal. Hizo mechi mbili zinazofuata ni lazima ashinde kwanza.
Tarehe 3 January? Sio tarehe 23 desemba?
 
Haichukui nafasi ya daktari lakini kusema ukweli Yanga wameanza kuonyesha matumaini. Huenda wakaingia robo fainali kwa kushinda mechi zote 3 zilizo baki huku ikitegemea na matokeo ya mechi nyingine.

Mechi ijayo ya Yanga na Mazembe kwa Mkapa uwanja utajaa sana mashabiki kwenda kuipa sapoti timu yao. Tuombe usiku leo Ibenge Fc washinde pamoja na mechi ya marudiano
Progress inaonekana na urejeo wa mzize na aucho Kuna kitu kimeongezeka,,bado eneo la kibabage Lina changamoto sana ata krossi iliyozaa bao la Leo pia imetokea upande huo,,umakini tu Leo umekosekana kwenye final ya yanga ilikuwa yanga ashinde hii mechi,,point Moja ya Leo ni muhimu sana kwa yanga anatakiwa aokote point zote 6 za kwa mkapa kama anataka kusonga mbele,,mechi ya Mc alger dhidi ya Al hilal itatoa picha kamili ya kundi
 
Haichukui nafasi ya daktari lakini kusema ukweli Yanga wameanza kuonyesha matumaini. Huenda wakaingia robo fainali kwa kushinda mechi zote 3 zilizo baki huku ikitegemea na matokeo ya mechi nyingine.

Mechi ijayo ya Yanga na Mazembe kwa Mkapa uwanja utajaa sana mashabiki kwenda kuipa sapoti timu yao. Tuombe usiku leo Ibenge Fc washinde pamoja na mechi ya marudiano
Hapa mchawi ni Yanga yenyewe, hii timu katika mambo ya kimataifa si ya kuitegemea hata kidogo kwani wanategemea sana uchawi kuliko vipaji. Kwa kifupi, Yanga ni mazezeta wa Kimataifa.
 
Haichukui nafasi ya daktari lakini kusema ukweli Yanga wameanza kuonyesha matumaini. Huenda wakaingia robo fainali kwa kushinda mechi zote 3 zilizo baki huku ikitegemea na matokeo ya mechi nyingine.

Mechi ijayo ya Yanga na Mazembe kwa Mkapa uwanja utajaa sana mashabiki kwenda kuipa sapoti timu yao. Tuombe usiku leo Ibenge Fc washinde pamoja na mechi ya marudiano
Tumecheza na timu ipo unga, tukiendelea kucheza hivi hatustahili kufika robo fainal
 
Back
Top Bottom