Yanga wameanza kuonyesha matumaini

Yanga wameanza kuonyesha matumaini

Jamani wana utopolo huyu ngara23 mtoni mtampoteza siku si nyingi..anatumia nguvu nyingi anasahau nguvu zake zinahitajika sehemu nyingi...kama una D mbili ndo utaelewa...hahhahha
 
Hapana,ni kipindi tu,we fikiria kipindi cha nyuma kidogo,timu ilivyokua yamoto.
Ni hali tu ilitupata.
Punguzeni wazee na makombo kutoka simba
1000199530.jpg
 
Nenda huko wewe...simba imeshashiriki hyo club Bingwa back to back 4 good yrs...zezeta wa head...chura kiziwi wew...
Cheza UMISETA yako
Tuache mabingwa tucheze na mabingwa wenzetu
Mbumbumbu mmechanganyikiwa
Wewe unahesabu points Bado mechi 3
 
kiufupi na uhakika ni kuwa utopolo ameshatoka,kwa hiyo mwakani tz itatoa timu mbili tu,azam na singida/tabora,wajipande vizuri.
 
Jamani wana utopolo huyu ngara23 mtoni mtampoteza siku si nyingi..anatumia nguvu nyingi anasahau nguvu zake zinahitajika sehemu nyingi...kama una D mbili ndo utaelewa...hahhahha
Club bingwa imechezwa Leo
Kesho 5imba wanacheza na wamama wa kiarabu
 
Yanga michezo 3 point 1....
Haijatofautiana sana na msimu ulioisha. Tumepunguza point moja tu kutoka kwenye msimu ulioisha lakini Yanga alifuzu.
 

Attachments

  • IMG_20241213_211242.jpg
    IMG_20241213_211242.jpg
    343.4 KB · Views: 3
Cheza UMISETA yako
Tuache mabingwa tucheze na mabingwa wenzetu
Mbumbumbu mmechanganyikiwa
Wewe unahesabu points Bado mechi 3
Ukweli unaumaaa pale unapoamua kukaza fuvu na watu walikuzidi experience kuliko wewe..yani ni kama unalamba matapishi....mmama mstaafu hoyeee...
 
Ukweli unaumaaa pale unapoamua kukaza fuvu na watu walikuzidi experience kuliko wewe..yani ni kama unalamba matapishi....mmama mstaafu hoyeee...
Umbumbumbuni Kuna shida gani
Mpo mashindano ya vikoba
Kesho mnacheza na sc Fuckin
Yaani mjue point 1 ya CAFCL ni sawa na points 9 za mashindano ya akina mama
 
Umbumbumbuni Kuna shida gani
Mpo mashindano ya vikoba
Kesho mnacheza na sc Fuckin
Yaani mjue point 1 ya CAFCL ni sawa na points 9 za mashindano ya akina mama
Mama mstaafu hoyeee
 
Umbumbumbuni Kuna shida gani
Mpo mashindano ya vikoba
Kesho mnacheza na sc Fuckin
Yaani mjue point 1 ya CAFCL ni sawa na points 9 za mashindano ya akina mama
Hayo mlikua hamyajui enzi simba inashirikia miaka 4 mfululizo...kwa sasa tunawazoom tuu...
#mama mstaafu hoyee##
 
Hayo mlikua hamyajui enzi simba inashirikia miaka 4 mfululizo...kwa sasa tunawazoom tuu...
#mama mstaafu hoyee##
😅😀🤣
Umenishinda tabia
We muha mbishi
Yaani upo UMISETA Bado unapata nguvu ya kusema CAFCL
 
5imba kesho anacheza Sc fuckin kutoka Tunisia
Shirikisho kwenye mashindano ya akina mama Kuna vituko
Point 1 imekurudisha hewani

Safari yenu imeishia hapo

Msimamo utaisha hivi hivi kama ambavyo ulivyokuwa saizi.
 
Back
Top Bottom