Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sc FuckinEti inaitwaje hiyo timu?
Mazembe wapo unga tena kuliko 5imba iliyopo mashindano ya akina mamaMazembe wapo hoi taaban wachezaji wazito balaa hawana fitness kabisa
Huko kwa kina mama ulipata shanga ukaipeleka mpaka ikulu mpaka leo unatamba nayo una shanga ya shirikisho maungoni mwenu5imba kesho anacheza Sc fuckin kutoka Tunisia
Shirikisho kwenye mashindano ya akina mama Kuna vituko
We cheza vikobaHuko kwa kina mama ulipata shanga ukaipeleka mpaka ikulu mpaka leo unatamba nayo una shanga ya shirikisho maungoni mwenu
Leo mlikatika viuno mpaka dakika ya mwisho ndio mkapata kikombe cha uji kutoka kwa Mazembe5imba kesho anacheza Sc fuckin kutoka Tunisia
Shirikisho kwenye mashindano ya akina mama Kuna vituko
Hata akishinda yeyote yule au hata watoke sara lakini kinachotakiwa kwa Yanga ni kushinda mechi zake zote tatu zilizobakia.Mc alger akishinda game yake leo matumaini yanazidi kufifia
Hizo zilizobaki,uhakika wa kufunga na kushinda zote upo.Leo morali ya timu imeamka baada ya pointi moja.Ili Yanga iwe na uhakika wa kufuzu na asiwe omba omba wa kutaka matokeo ya wenzake yawe vipi ni lazima ashinde mechi zake zote tatu zilizobakia. Tarehe. 3 anacheza taifa dhidi ya Mazembe na tarehe 10 ni dhidi ya Al Hilal. Hizo mechi mbili zinazofuata ni lazima ashinde kwanza.
Sasa nyie mbumbumbu, mpo huko dampo mtaelewa Nini kuhusu mambo ya club bingwaLeo mlikatika viuno mpaka dakika ya mwisho ndio mkapata kikombe cha uji kutoka kwa Mazembe
Mashindano haya mtakayoishia MAKUNDU-CHI na shanga zenu za visindano?We cheza vikoba
Acha kuongelea mashinda ya kibingwa CAFCL
Yanga michezo 3 point 1....We cheza vikoba
Acha kuongelea mashinda ya kibingwa CAFCL
Timu yenu haina tofauti na gari la mkaa trip shamba trip garajeHizo zilizobaki,uhakika wa kufunga na kushinda zote upo.Leo morali ya timu imeamka baada ya pointi moja.
Mlijua hayo baada ya miaka 25 ninyi robo hamuendi labda mpate robo ya unga wa ujiSasa nyie mbumbumbu, mpo huko dampo mtaelewa Nini kuhusu mambo ya club bingwa
Hujui mechi za ugenini zinachezwaje upo Kwa akina mama
Nenda huko wewe...simba imeshashiriki hyo club Bingwa back to back 4 good yrs...zezeta wa head...chura kiziwi wew...Sasa nyie mbumbumbu, mpo huko dampo mtaelewa Nini kuhusu mambo ya club bingwa
Hujui mechi za ugenini zinachezwaje upo Kwa akina mama
mambo ya kupiga ramli hatutaki,wao washinde tu mechi zote.Haichukui nafasi ya daktari lakini kusema ukweli Yanga wameanza kuonyesha matumaini. Huenda wakaingia robo fainali kwa kushinda mechi zote 3 zilizo baki huku ikitegemea na matokeo ya mechi nyingine.
Mechi ijayo ya Yanga na Mazembe kwa Mkapa uwanja utajaa sana mashabiki kwenda kuipa sapoti timu yao. Tuombe usiku leo Ibenge Fc washinde pamoja na mechi ya marudiano
Hapana,ni kipindi tu,we fikiria kipindi cha nyuma kidogo,timu ilivyokua yamoto.Timu yenu haina tofauti na gari la mkaa trip shamba trip garaje