Nani mwenye hasara sasaUngeanza kuwalaumu TFF wanaotumia kanuni kuwafuwafungia na kuwakomoa viongozi wa Yanga.
Kifupi TFF haina mahusiano mazuri na Yanga, so usitegemee uungwana wowote inreturn...TFF kaingia mwenyewe cha kike, ajisahishe na ku take responsibility ktk hili.
Yanga kwa sababu ya kuwakomoa TFF wameamua kujificha nyuma ya kanuni kususia mchezo wao wa 08.05.2021 na watani wao simba. kitendo hiki si cha kistaraabu hata kidogo na sijui wanatarajia kufaidika na nini. Hivi TFF wakiamua kuishi kwa kanuni Yanga itabaki kweli?
Kwani wewe ulitakaje kwani, kanunizivunjwe kwa kivuli cha Busara. Ujinga huo sheria zifuatwe ukiwa nakosa ubukumiwe kulingana na kosa.Yanga kwa sababu ya kuwakomoa TFF wameamua kujificha nyuma ya kanuni kususia mchezo wao wa 08.05.2021 na watani wao simba. kitendo hiki si cha kistaraabu hata kidogo na sijui wanatarajia kufaidika na nini. Hivi TFF wakiamua kuishi kwa kanuni Yanga itabaki kweli?
Waziri mwenyewe ni utopolo lialia lazima tuwalaumu utopoloon any direction, wakulaumiwa ni serikali haswa waziri alietoa tamko na TFF wakalifuata,
on any direction, wakulaumiwa ni serikali haswa waziri alietoa tamko na TFF wakalifuata,
Mkuu ulilisikiliza tangazo la kubadirisha mda wa mpira samahani haikuwepo wala kuomba radhi.Kwa vile TFF wameomba radhi kwa hiyo Yanga imepata point ngapi? TFF wamefanya hivyo kwa sababu ni wastaraabu ila wasiowastaarabu kama Yanga hawajamuomba radhi hata yule Mkazi wa Kigoma aliyekuja kwa miguu.
Kanuni ya Ustaraabu, busara na hekima. Hivyo fikiria yule shabiki wa Yanga aliyetoka Kigoma kwa miguu halafu asione kilichomleta?
Kubadili muda ni masaa 24 kabla ya mechi, na mazingira maalum yanaweza kubadili, je jana kulikuwa na mazingira gani maalum ya kusogeza muda wa mechi hiyo jana?View attachment 1778652
soma hiyo kanuni
Yanga hawako sahihi. Tuzingatie sheria, kanuni, taratibu na busara nayo itumike. Hata huko mahakamani busara huwa zinatumika.Yanga wako sahihi. Tuzingatie sheria, kanuni na taratibu.
wewe hukuyaona kwa sababu unaona lakini hutizami
Huwa nakuona mtu wa heshima kumbe una mawazo ya jikoni kiasi hiki? Nyie Tanzania football failure kiama chenu kinakuja.Yanga kwa sababu ya kuwakomoa TFF wameamua kujificha nyuma ya kanuni kususia mchezo wao wa 08.05.2021 na watani wao simba. kitendo hiki si cha kistaraabu hata kidogo na sijui wanatarajia kufaidika na nini. Hivi TFF wakiamua kuishi kwa kanuni Yanga itabaki kweli?
Huyu Cliford Ndimbo amekuja kupima kina cha maji.TFF wenyewe wameomba radh na wametoa maagizo kwa bodi
Wewe nani ???
Yanga wapo sahihi. Namm mwanasimba, nmewaunga mkono
Yanga wanashindwa kuwafikiria hata Mashabiki waliotoka mikoani, watu wamelipia nauli, hela ya gesti/hotel etc lakini Yanga hawakujali hilo. Yanga wanadhani wamewakomoa tu TFF, hawajui kwamba hata Mashabiki wao nao wamekomolewa kwa utoto wao.Yanga kwa sababu ya kuwakomoa TFF wameamua kujificha nyuma ya kanuni kususia mchezo wao wa 08.05.2021 na watani wao simba. kitendo hiki si cha kistaraabu hata kidogo na sijui wanatarajia kufaidika na nini. Hivi TFF wakiamua kuishi kwa kanuni Yanga itabaki kweli?
Kanuni zimewekwa kwanini kama hamuwezi kuzifuata? Anaejua kwanini game ilisogezwa mbele atujulishe tafadhaliYanga kwa sababu ya kuwakomoa TFF wameamua kujificha nyuma ya kanuni kususia mchezo wao wa 08.05.2021 na watani wao simba. kitendo hiki si cha kistaraabu hata kidogo na sijui wanatarajia kufaidika na nini. Hivi TFF wakiamua kuishi kwa kanuni Yanga itabaki kweli?