comte
JF-Expert Member
- Dec 11, 2011
- 9,019
- 6,825
- Thread starter
- #21
Nani mwenye hasara sasaUngeanza kuwalaumu TFF wanaotumia kanuni kuwafuwafungia na kuwakomoa viongozi wa Yanga.
Kifupi TFF haina mahusiano mazuri na Yanga, so usitegemee uungwana wowote inreturn...TFF kaingia mwenyewe cha kike, ajisahishe na ku take responsibility ktk hili.