Yanga wanaendelea kutumia mbinu za Shirikisho kwenye Klabu Bingwa

Yanga wanaendelea kutumia mbinu za Shirikisho kwenye Klabu Bingwa

Ifikie wakati nawalaumu nyie mods
Mtu kama huyu mlimruhusu vipi ajiunge jf?
 
Jana nilisikia kuwa Yanga baada ya mechi yao na Medeama, walizungumza na mshambuliaji wao hatari aliyewasumbua sana Jonathan Sowah kwa nia ya kumsajili.

Nakumbuka msimu uliopita katika mashindano ya shirikisho, karibia kila timu iliyokuwa inacheza na Yanga, baada ya mechi ya kwanza na timu hiyo, kabla hata ya kurudiana walikuwa wanaonyesha waziwazi interest na wachezaji walioonekana hatari wa timu pinzani na kuwaahidi kuwasajili. Nakumbuka walifanya hivyo kwa TP Mazembe, walifanya hivyo kwa AS Bamako. Walipokutana na Monastir, ghafla tawi lao Singida Big Stars wakaingia ushirikiano na Monastir. Tulio na jicho la tatu tulihoji haya mambo toka kipindi kile. Baada ya mission katika shirikisho kufanikiwa hakuna mchezaji wa TP Mazembe wala Bamako aliyesajiliwa Yanga msimu huu wala ule ushirikiano na SBS hatujausikia tena.

Kwa mtazamo wangu hizi ni mbinu chafu zisizo za kiungwana na kimichezo za kurubuni wachezaji ili kuwapunguza makali kabla ya mechi ya marudiano, ili mchezaji asicheze kwa kiwango chake akidhani atakuwa sehemu ya kikosi cha Yanga baada ya muda mfupi. Mbinu hii pia siyo fair kwa timu yake ya sasa inayomlipa mshahara wake. Mara nyingine unakuta timu inaamua hata kutompanga huyo mchezaji katika mechi ya marudiano wakiwa na wasiwasi hatacheza kwa bidii.

Embu waza Yanga wangefanyiwa kitu kama hicho kwa timu pinzani kuonyesha interest waziwazi kwa kuongea direct na mchezaji wa Yanga katikati ya mashindano bila kwanza kwenda kwa uongozi wa timu. Naamini wote tunajua jinsi malalamiko yao yangekuwa maana tuliyaona wakati wa sakata la Feisal na Azam. Hizi ni janja janja za muda mfupi na mwisho wa siku zinagonga mwamba maana sitegemei kama wataweza kufanya hivyo kwa wachezaji wanaojitambua wa CRB au wa Al Ahly.

Nawasilisha.
Tunawaona mnaotumia mbinu za Championship mnavyo haha.
 
Umebwabwaja bila kuleta ushahidi wowote, hao Yanga wanaela gani ya kuwarubuni wachezaji 11 wa Medeama, wachezaji 11 wa Belouizdad, wachezaji 11 wa Al Ahly. Hivi wewe ni mwehu kiasi hiki.
Mbona nawewe unabwabwaja zaidi.
 
Kama ni sahihi huenda anafanya mind games ili awakande.
 
Ifikie wakati nawalaumu nyie mods
Mtu kama huyu mlimruhusu vipi ajiunge jf?

Sema makolo kweli nyie wajinga aisee

Tunawaona mnaotumia mbinu za Championship mnavyo haha.
Nyie subirini tu kupelekewa moto na wajukuu wa Nkrumah

Screen Shot 2023-12-14 at 2.22.19 PM.png
 
Jana nilisikia kuwa Yanga baada ya mechi yao na Medeama, walizungumza na mshambuliaji wao hatari aliyewasumbua sana Jonathan Sowah kwa nia ya kumsajili.

Nakumbuka msimu uliopita katika mashindano ya shirikisho, karibia kila timu iliyokuwa inacheza na Yanga, baada ya mechi ya kwanza na timu hiyo, kabla hata ya kurudiana walikuwa wanaonyesha waziwazi interest na wachezaji walioonekana hatari wa timu pinzani na kuwaahidi kuwasajili. Nakumbuka walifanya hivyo kwa TP Mazembe, walifanya hivyo kwa AS Bamako. Walipokutana na Monastir, ghafla tawi lao Singida Big Stars wakaingia ushirikiano na Monastir. Tulio na jicho la tatu tulihoji haya mambo toka kipindi kile. Baada ya mission katika shirikisho kufanikiwa hakuna mchezaji wa TP Mazembe wala Bamako aliyesajiliwa Yanga msimu huu wala ule ushirikiano na SBS hatujausikia tena.

Kwa mtazamo wangu hizi ni mbinu chafu zisizo za kiungwana na kimichezo za kurubuni wachezaji ili kuwapunguza makali kabla ya mechi ya marudiano, ili mchezaji asicheze kwa kiwango chake akidhani atakuwa sehemu ya kikosi cha Yanga baada ya muda mfupi. Mbinu hii pia siyo fair kwa timu yake ya sasa inayomlipa mshahara wake. Mara nyingine unakuta timu inaamua hata kutompanga huyo mchezaji katika mechi ya marudiano wakiwa na wasiwasi hatacheza kwa bidii.

Embu waza Yanga wangefanyiwa kitu kama hicho kwa timu pinzani kuonyesha interest waziwazi kwa kuongea direct na mchezaji wa Yanga katikati ya mashindano bila kwanza kwenda kwa uongozi wa timu. Naamini wote tunajua jinsi malalamiko yao yangekuwa maana tuliyaona wakati wa sakata la Feisal na Azam. Hizi ni janja janja za muda mfupi na mwisho wa siku zinagonga mwamba maana sitegemei kama wataweza kufanya hivyo kwa wachezaji wanaojitambua wa CRB au wa Al Ahly.

Nawasilisha.
😄😄Bila shaka mkuu ww ni shabiki wa simba... Vita mbinu
 
Mnajipa moyo sana na matokeo ya Yanga, wewe subiria warabu wakupelekee moto wa lava.
Hao waarabu ambao mechi yao ya kufa na kupona wamepelekewa moto hadi wakaja kupata bao la ngekewa dakika ya 95. Njooni J4 mjifunze jinsi ya kucheza mechi za kimataifa ili muachane ni michezo hii mnayofanya ya kitoto
 
Hao waarabu ambao mechi yao ya kufa na kupona wamepelekewa moto hadi wakaja kupata bao la ngekewa dakika ya 95. Njooni J4 mjifunze jinsi ya kucheza mechi za kimataifa ili muachane ni michezo hii mnayofanya ya kitoto
Ila ukapigwa kidude....... huko mbali jumamosi tutakuona na Kagera.......

Na mlivyokuwa hamna timu,fungukeni mtengeneze magap mpigwe.
 
Ila ukapigwa kidude....... huko mbali jumamosi tutakuona na Kagera.......

Na mlivyokuwa hamna timu,fungukeni mtengeneze magap mpigwe.
Kama uliangalia pira la Morocco utagundua injini sasa hivi inalia kama mpya vileee. Siku mbili tatu hizi tunabadili tairi ili pale mbele kuwe sawa, baaassii, zile dozi za goli tatu, nne, tano za msimu uliopita zinarudi.

Mara ya mwisho Benchikha kuongoza timu kwa Mkapa kuna watu walikuwa bado wanashangilia goli lao wakajikuta wanaanza kushangilia goli la timu pinzani. Hivi unakumbuka lakini au nisikukumbushe machungu?
 
Kama uliangalia pira la Morocco utagundua injini sasa hivi inalia kama mpya vileee. Siku mbili tatu hizi tunabadili tairi ili pale mbele kuwe sawa, baaassii, zile dozi za goli tatu, nne, tano za msimu uliopita zinarudi.

Mara ya mwisho Benchikha kuongoza timu kwa Mkapa kuna watu walikuwa bado wanashangilia goli lao wakajikuta wanaanza kushangilia goli la timu pinzani. Hivi unakumbuka lakini au nisikukumbushe machungu?
Funguka hovyo hovyo uone msidanganywe kabisa na ile mechi ya Morroco,hiyo kesho yenyewe mnaweza mkapoteana kwa Kagera.

Haya hiyo siku ya Wydad tafuta koti lako oversize naona mmeamua kuwatumia Miso Misondo au bado mmekomaa namsimamo wenu wa kutokwenda uwanjani.
Screenshot_20231214_194329_Instagram.jpg
 
Hao waarabu ambao mechi yao ya kufa na kupona wamepelekewa moto hadi wakaja kupata bao la ngekewa dakika ya 95. Njooni J4 mjifunze jinsi ya kucheza mechi za kimataifa ili muachane ni michezo hii mnayofanya ya kitoto
Mwarabu katumia dakika 90+ kumuandaa mnyama baadae kamuweka kimoja cha moto
 
Funguka hovyo hovyo uone msidanganywe kabisa na ile mechi ya Morroco,hiyo kesho yenyewe mnaweza mkapoteana kwa Kagera.

Haya hiyo siku ya Wydad tafuta koti lako oversize naona mmeamua kuwatumia Miso Misondo au bado mmekomaa namsimamo wenu wa kutokwenda uwanjani.
View attachment 2842643
Tunaelekea kileleni, hayo makoti yatatufaa sana na baridi la pale juu
 
Ila ukapigwa kidude....... huko mbali jumamosi tutakuona na Kagera.......

Na mlivyokuwa hamna timu,fungukeni mtengeneze magap mpigwe.
Kama uliangalia pira la Morocco utagundua injini sasa hivi inalia kama mpya vileee. Siku mbili tatu hizi tunabadili tairi ili pale mbele kuwe sawa, baaassii, zile dozi za goli tatu, nne, tano za msimu uliopita zinarudi.

Mara ya mwisho Benchikha kuongoza timu kwa Mkapa kuna watu walikuwa bado wanashangilia goli lao wakajikuta wanaanza kushangilia goli la timu pinzani. Hivi unakumbuka lakini au nisikukumbushe machungu?
Nakukumbusha tu si kwa ubaya, ile dozi niliyokwambia jana imeanza rasmi. Na isingekuwa uwanja mbovu, zingekuwa hata 8.
 
Nakukumbusha tu si kwa ubaya, ile dozi niliyokwambia jana imeanza rasmi. Na isingekuwa uwanja mbovu, zingekuwa hata 8.
Refa kawafunikia mara mbili penati moja,mnaoa hata aibu kushangilia. Timu hata kutengeneza nafasi inapata tabu.Sijui mwenzangu mpira unaangaliaje.
 
Refa kawafunikia mara mbili penati moja,mnaoa hata aibu kushangilia. Timu hata kutengeneza nafasi inapata tabu.Sijui mwenzangu mpira unaangaliaje.
Unataka kusema haikuwa penati ile? Na kipindi cha pili nafasi ngapi za wazi Simba imekosa?
 
Back
Top Bottom