Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ule mpira mchezaji wa Kagera alikuwa anataka kuucheza kwa kichwa ila Kanoute akamchezea faulo mchezaji wa Kagera na kudondoka pasipo kuucheza ule mpira.Twende taratibu, faulo ya kwanza haikuwa penati?
Shida hamjui hata mlikosoe goli kwa angle ipi? Saido hakuchezewa faulo? Wachezaji hawakuingia kwenye box kabla penati haijapigwa?Ule mpira mchezaji wa Kagera alikuwa anataka kuucheza kwa kichwa ila Kanoute akamchezea faulo mchezaji wa Kagera na kudondoka pasipo kuucheza ule mpira.
Kati ya mchezaji wa Simba na Kagera ni mchezaji yupi ndiye aliyetanguliwa kuchezewa faulo? Na ikapelekea hadi kushindwa kuwin mpira?Shida hamjui hata mlikosoe goli kwa angle ipi? Saido hakuchezewa faulo? Wachezaji hawakuingia kwenye box kabla penati haijapigwa?
Hiyo ni tafsiri yako ila hata hiyo faulo unayosema refa angeweza kutafsiri kuwa ni Kanoute ndiyo alichezewa faulo maana yeye ndiye aliruka kuucheza mpira na mchezaji wa Kagera akampa mgongo, kwa hiyo tunarudi pale pale.Kati ya mchezaji wa Simba na Kagera ni mchezaji yupi ndiye aliyetanguliwa kuchezewa faulo? Na ikapelekea hadi kushindwa kuwin mpira?
Umeelewa nini kuhusu hiyo picha?
Yaani Kanoute anajiandaa kumpa mtu mgongo hapo na refa hakua mbali hajaona hawa marefa hii mipira hawajacheza kabisa kujua mbinu za faulo ? maana kutafsiri sheria hawajui..Hiyo ni tafsiri yako ila hata hiyo faulo unayosema refa angeweza kutafsiri kuwa ni Kanoute ndiyo alichezewa faulo maana yeye ndiye aliruka kuucheza mpira na mchezaji wa Kagera akampa mgongo, kwa hiyo tunarudi pale pale.
View attachment 2843629
Halafu kuna faulo nyingine aliyochezewa Kanoute na golikipa ambayo nayo ingeweza kuwa penati pia.
Huwa unatumia nguvu nyingi sana kutushawishi kuwa huna akili.Nadhani kile nilichokisema wote mmekiona leo. Hongereni kwa kujua kucheza mpira nje ya uwanja
Alifanya kazi kubwa sana huyu jamaa jana. Baada ya mechi anapongezwa na mashabiki wakeHuwa unatumia nguvu nyingi sana kutushawishi kuwa huna akili.
Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
Si uliakatwa 5-0 na mumeo mnyamaKucheza mpira acheze Bingwa wako wa makombe mengi TZ na mbabe wa kukugonga mechi nyingi duniani na mbinguni afu uteseke wewe Makolokolo SC fan [emoji1]