Nasema hivi, mechi ipo, tarehe itapangwa na mgeni rasmi atakua (mtu mkubwa nchi hii) Mimi sjui nani, Sasa nyinyi msilete timu tuone nani ni mkubwa kati yenu na serikali...Hiki kinachofanywa na Yanga sasa kwa maoni ya mashabiki wa SImba wanaona ni ujinga. Ila ule uhuni waliofanyawao wanaona ni sahihi.
Hiki mnachotaka kuhalalisha wakifanya wengine mnaona ni uhuni.
Naamini kuwa shabiki wa SImba ni kipaji aisee.
Naomba tafsili apo umemaanisha nini.πΉπΉπ
Sheria zinawataka wawape MASAA kadhaa na wasipojibiwa wanaenda caf Wana cc fifaππππππ Hatari sana! Sasa si walipeleke tu huko moja kwa moja, haina haja ya kusubiria hayo masaa.
Wameishiwa pumzi yaan kuzingua wazingue wenyewe sasa hivi wanatapatapa nani aliwaambia wahaiarishe mechi na asubuhi walisema mechi ipo palepale, wewe Steve Mngeto si asubuhi ulihojiwa ukasema gemu ipo palepale tukutane kwa Nkapa? Mchana linatoka barua watu washajiandaa haya walipeni sasaNa sio hioo tu
Mwisho wameandika tutawatajia tar ya mechi kurudiwa wamejuaje mechi unatakiwa kurudiwa mbwa wale washenzi
Una helΓ akusaidieNaomba tafsili apo umemaanisha nini.
Acha hizo basi na ww mkuu, hasira za nn? maana ya Jf ni nn? si kuelimishana na kupashana habari?Ni ndio maana nimemjibu mamlaka za juu pssf PPF
YAAN MPAKA SASA hajui malaka za juu za kudai haki yako kwenye SOKA doh
Bodi ya Ligi inayoongozwa na wajinga wapumbavu shenzi zao ile Barua wangejua wasingeonyesha majina yao walioidhinishaa ule ujinga Almasi Kasongo na Steve Mngeto wamezingua wachomoke haraka wapishe zile nafasi pamoja kamati yao ya kiduanziKufungiwa au kutofungiwa kuko mikononi mwa Bodi.
Na kutaniana umesahau mtaniAcha hizo basi na ww mkuu, hasira za nn? maana ya Jf ni nn? si kuelimishana na kupashana habari?
kuuliza kwangu ni tatizo?
Wangese woteeeeeBodi ya Ligi inayoongozwa na wajinga wapumbavu shenzi zao ile Barua wangejua wasingeonyesha majina yao walioidhinishaa ule ujinga Almasi Kasongo na Steve Mngeto wamezingua wachomoke haraka wapishe zile nafasi pamoja kamati yao ya kiduanzi
πππ umeifanya futari yangu ishuke vzr mkuuNa kutaniana umesahau mtani
Haya majitu hamnazo timu imejaza magumbaru wanahisi Watanzania wote tunawazq Yanga na Smba wengine hatuna timu,kwann wasiwaige Simba Angalau wanaonesha kujitambua kidogoHii klabu mbona inatapatapa hivi? Barua kila kukicha utadhani hawana kazi nyingine za kufanya.
Mpaka mseme wale wahuni waliokaa pale getini walitumwa na nani.
Umeonaa mpwaaa nionbee na nn nifunge kesho Toka juzi nkaishia saa saba sijui ndio nyota Yangu ya MASAA saba ACHA tuπππ umeifanya futari yangu ishuke vzr mkuu
πUtaijua hapohapo FIFA huko CAS iende ikachomewe TFF na BOdi ya Ligi inayoongozwa na watu wapumbavu wasiojua kufuata kanuni zinavyosema
Ngoma tamu hii mkuu subiriaYanga hawana adabu kabisa wanaipanda kichwani Bodi ya Ligi na TFF, ngoja tuone mwisho wa hili chezo