ITR
JF-Expert Member
- Sep 22, 2022
- 6,096
- 16,390
Hao mabaunsa wenu walisha mpiga shabiki wa simba mbele ya Ali kamwe.Acha kuwa mbumbumbu
Nimekwambia kwenye watendaji wa Yanga
Yanga haina kitengo cha mabaunsa
Yanga Huwa wanachukua ulinzi wa police
Yaani hao mabaunsa wazuie vip msafara wa Simba uliosindikizwa na police?
Ajiulize hili swali we mbumbumbu