Wanajitahidi sana kwenye kutengeneza jezi, kwanza ni imara na material yako vizuri. Natarajia Simba nao wapate jezi kali ili kuleta ushindani zaidi.Kwenye ukweli acha nisemee, hii nimeielewaa, tangu ilipooneshwaa.
Dadakiiii hahahhaa pole sanaHizi ni miongoni mwa jezi za hovyo nilizo zishuhudia
Yanga msiwatumie mabinti zetu wazuri vibaya kwa kutangaza jezi zenu huku pia mkiwatangaza kwa mbweha!
Rais wa Malawi Lazarus Chakwera na Rais Samia Suluhu Hassan wa Tanzania wamezindua jezi mpya za Club ya Yanga usiku huu kwenye Ikulu ya Malawi ambako Yanga na Rais Samia walialikwa kusherehekea uhuru wa Nchi hiyo.
Kwenye video fupi ya tukio hilo Rais wa Club ya Yanga Engineer Hersi Saidi ameonekana akiwapatia Marais hawa jezi zao
la dp world limeshapita.zilizobaki ni kelele.utake limepita,usitake limepita.mambo mengine yaendeleeHii ndio habari kwa sasa, tuondoe stress na DIPIWEDI
Tuonyeshe iyo nembo ya hier hapo ulipoiona, acha utoto weweWalizopewa Rais Samia na mwenzake zina nembo ya Haier. Halafu tunaposema hii safari imetibua mipango ya klabu muwe mnaelewa, msikae tu kushangilia.
sasa ngoja walace karia aje azindue jezi za simba.usikie kelele zao.roho za kichawi ni mbaya sana.samia kazindua jez zao sisi tumekaa kimyaa.
wivu unakusumbua sanaTusipokuwa makini mtasikia Young Africans Sports Club wameenda kumtambulisha mchezaji kwenye MKUTANO MKUU wa AU huko Ethiopia[emoji38][emoji1787] au pale mjini UN
[emoji117]Mpaka mama atoke madarakani mashabiki wa Yanga wote watakuwa mabonge kama Mwakalebela[emoji125][emoji125]
**************"*********
Klabu ya Yanga imetambulisha kimya kimya jezi mpya za msimu wa 2023/2024 wakiwa nchini Malawi [emoji1156] ikulu .pamoja na Maraisi wawili wa Tanzania [emoji1241] na Malawi [emoji1156] leo July 5
YANGA wanasiri Gani kupendwa na Marais......au ndo maana halisi ya timu ya Wananchi!!!!!!!!
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
huu ni ushindi mkubwa kwa propaganda kwa yanga
Rais wa Malawi Lazarus Chakwera na Rais Samia Suluhu Hassan wa Tanzania wamezindua jezi mpya za Club ya Yanga usiku huu kwenye Ikulu ya Malawi ambako Yanga na Rais Samia walialikwa kusherehekea uhuru wa Nchi hiyo.
Kwenye video fupi ya tukio hilo Rais wa Club ya Yanga Engineer Hersi Saidi ameonekana akiwapatia Marais hawa jezi zao
Usiwe kama Mshana Jr. Ukatoka ndukiKwa sisi wenye jicho la 3 huo ni mkosi tukutane msimu ujao
Huyu hana kitambi, hebu tuwekee na ya mwenye ndambi na sisi vibonge tupate hamasa ya kununua.Hii jezi ni kali kinoma.View attachment 2679642