Tusipokuwa makini mtasikia Young Africans Sports Club wameenda kumtambulisha mchezaji kwenye MKUTANO MKUU wa AU huko Ethiopia[emoji38][emoji1787] au pale mjini UN
[emoji117]Mpaka mama atoke madarakani mashabiki wa Yanga wote watakuwa mabonge kama Mwakalebela[emoji125][emoji125]
**************"*********
Klabu ya Yanga imetambulisha kimya kimya jezi mpya za msimu wa 2023/2024 wakiwa nchini Malawi [emoji1156] ikulu .pamoja na Maraisi wawili wa Tanzania [emoji1241] na Malawi [emoji1156] leo July 5
YANGA wanasiri Gani kupendwa na Marais......au ndo maana halisi ya timu ya Wananchi!!!!!!!!
Sent from my TECNO KG5j using
JamiiForums mobile app