SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
Mimi nina akili timamu siwezi kuwa pande hizo. Sijui umenierewa!!!Umekuwa msemaji mpya wa yanga mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi nina akili timamu siwezi kuwa pande hizo. Sijui umenierewa!!!Umekuwa msemaji mpya wa yanga mkuu
Hapo sasa ndipo uzuzu wa Manara unapojithihirishaIla maelezo yake alikuwa anajifichia Yanga
Simba walimfukuza.Napenda kumshauri Haji Manara akubali yaishe na aende akaombe ajira GSM, hawa wanoa uwezo wa kumuajiri kwani ndio walio mjaza upepo akaondoka SIMBA SPORTS CLUB. Sasa nashauri wamsitiri mndani wao huyu.
Exactly hili ndio jibu ndio maana alilopokwa kama kakatwa kichwa huku akijua nyuma hamna nembo ya yanga wala wadhamini Wake 😎Nadhani alienda kuongea individual issues ndo maana hakuna nembo ya club wala ya GSM
Indivisual wakati kaitaja sana yanga kuwa inasalitiwa na tffNadhani alienda kuongea individual issues ndo maana hakuna nembo ya club wala ya GSM
Ila we jamaa[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]View attachment 2304291
Ulikua wapi siku zote shougaaaa. Nawaambiaga Simba ni timu na nusuUshabikie njee au hata timu ndogo mtibwa sugar,azam fc,sijui nanini ila mimi nipo Simba timu yenye msimamo tokea miaka 3 nanyonya hadi sasa.
Kitu chata ya ushindi sio kwenu rangi ya mazingira.
Saivi msemaji mkuu ni chotara anaropoka ropoka hana haya kama mlevii.
Alivyokuwa simba chata ya ushindi ilikiwa imemtuliza kiburi ila huko yanga anavuta bangi.
NipoUlikua wapi siku zote shougaaaa. Nawaambiaga Simba ni timu na nusu
Asante kwa hiyo taarifa.Simba walimfukuza.