Cicadulina
JF-Expert Member
- Sep 8, 2015
- 977
- 2,370
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ulipaswa kulipa, hujalipa hayo si mafanikio ni utapeli.Sometimes mafanikio lazima yaje na changamoto. Na hapo tutegemee na kimeo kingine cha Hafiz Konkoni.
Huwezi kusema umetengeneza faida ilihali una madeni.Sometimes mafanikio lazima yaje na changamoto. Na hapo tutegemee na kimeo kingine cha Hafiz Konkoni.
Mafanikio yanahusiana nini na mtu kudai chake...Sometimes mafanikio lazima yaje na changamoto. Na hapo tutegemee na kimeo kingine cha Hafiz Konkoni.
Kama hujanielewa, ni bahati mbaya sana kwako. Muda wa kuwafundisha watu wazima kwa kweli sina.Mafanikio yanahusiana nini na mtu kudai chake...
Suala ni malipo yake sio kumvumilia mchezaji. Lipa ondoa,huo ndo ustaarabu wa soka.Kudaiwa ni kawaida
Hatuwezi kuvumilia mchezaji garasa tushindwe kuingiza mwingine
Yani kambole azibe nafasi ya azizi k?
Nyie mbumbumbu mvumilie tu Jobe na saidoo watu tubebe makombe
Utasubiri sana 😄Kipindi ambacho Yanga itaanza kuyumba ndio tutajua uozo wa viongozi wao hata Simba ilikuwa inajificha kwenye mafanikio ila sasa hivi kila kitu kipo wazi Yanga nayo mda ukifika tutajua mengi ambayo yamejificha
FIFA wachezaji wanashindia sana bila kujali aina ya mwanasheria. Hasa kesi za madai.Hivi hawa Utopolo wanamwanasheria Kweli..?
Kila Kesi Wanapigwa bao...! Kama yupo Timua haraka huyo Mwanasheria .
Mbona zimezoeleka, tujiulize kuna dirisha hizi timu mbili Yanga na Simba zimewai kushindwa kabisa kusajiri kwa sababu ya madeni? Basi ndiyo ujue timu zitalipa hiyo pesa na mambo yataendelea kama kawaida dirisha likifunguliwaUongozi Janja janja mingi, una pesa ya mabango ila hauna pesa ya kulipa wachezaji.