Yanga yahamishia makazi katika Uwanja wa KMC Complex

Yanga yahamishia makazi katika Uwanja wa KMC Complex

Tabu bado ipo pale pale...
Nadhani sababu ya wao kuukimbia Chamazi itakuwa ni ile ishu ya kuwa exposed.

Ile misindano kwenye pharmacy zinazouza dawa za binadamu huwezi kuzipata.

Na mimi kabla ya ile footage kuwa leaked mara yangu ya mwisho kuona mibomba ile ya sindano ilikuwa kwenye movie ya Predator ya Anold Schwarzenegger.

Kwenye kile kipande ambapo Roboti alijeruhiwa akawa anatoka damu za kijani akawa anajitibia akatoa sindano. Basi ile sindano ndio nimekuja kuiona Chamazi kwenye ile footage

 
Too low kigagula

USSR
IMG-20241109-WA0028.jpg
 
Kikundi cha wahuni wanoajidunga sindano hawana akili..yanga kama machizi hivi na malofa..hawana rangi maalum za jezi zao kila rangi hawa malofa wanavaa
Screenshot_20241109-205719.jpg
 
Wanajinduka masindano,hawajamaa kama machizi chizi hivi....rangi maalum hawana ni malofa kweli....mara wanapora ushindi wa timu zingine kwa kutumia marefa..

Yanga ni kikundi cha wahuni sio timu ya mpira ile...
 
Back
Top Bottom