Yanga yahamishia makazi katika Uwanja wa KMC Complex

Yanga yahamishia makazi katika Uwanja wa KMC Complex

Zile picha mjongeo zilizopigwa na kusambazwa makusudi ulijua zilikuwa ni za yanga? Je yule mtu aliyeonekana anamwaga vitu kwenye camera ulijua ni yanga ni wa YANGA kabla ya mechi na Azam? Je unapokuwa na mechi si lazima timu mwenyeji ikague uwanja kwanza kwanini walikuwa wanakataa? Hizo ni sababu muhimu zilizoifanya yanga aondoke pale kwakuwa Azam ndio Wenye server ya CCTV camera kwa maana iyo walikuwa wanatumia zile picha kuichafua yanga kama taasisi, na zingekuwa za kweli tungewaelewa but dhumuni lao lilikuwa baya ndio maana wakafanya vile!
Ilikuwa ni rahisi kuzihusisha na Yanga kufuatia kauli ya Afisa Habari wenu aliyoitoa siku moja kabla ya kuelekea kwenye mechi yenu.

Kauli ya msemaji wenu ilikuwa na viashiria vya kutoa kibali kwa mashabiki wenu kufanya mambo ya ushirikina.
 
Hiyo ni baada ya vipigo viwili mfululizo.

Hapa sasa ndio kuna kitu ambacho uongozi wa Yanga unatuacha njia panda sisi wadau wa soka.

Kama management iliona tatizo la wao kupoteza mechi mbili lilisababishwa na uwanja, kwanini wamuwekee vikao Gamondi usiku wa manane?

Tushike lipi sasa?

Tatizo ni uwanja au ni kocha?

Azizi Ki amekuwa extreme free kwenye kumbi za starehe akila shisha, kitu hatarishi kwa afya ya mchezaji lakini pia hata kwa regular person ambaye duties zake sio soka.

Bado hawalioni hilo kama tatizo wameenda kwenye uwanja?

Kwa research ndogo nikiyofanya kwa mashabiki wa Yanga waliokuwa wanazungumzia sababu za kupoteza kwa mchezo wengi walitaja udhaifu wa safu yao ya ulinzi.

Wengi walitaja kukosekana kwa wachezaji kadhaa ambao ni muhimili wa timu kuwa ndio sababu iliyo wagharimu kupoteza mechi.

Hii ya uwanja kuwa ni sababu sioni kama waliofanya maamuzi walifikiria sahihi au ndio zile emotions baada ya kufungwa.

View attachment 3148007
 
Kwaiyo kwa akili yako ndogo unaamini yanga anashinda kwa nguvu ya madawa?
Wewe kwa akili yako kubwa unadhani kwa nini wanaukimbia uwanja ambao walijitapa nao kuwa huo ni kama uwanja wao nyumbani? Zingatia futbol ni mchezo wa wazi.
 
Wewe kwa akili yako kubwa unadhani kwa nini wanaukimbia uwanja ambao walijitapa nao kuwa huo ni kama uwanja wao nyumbani? Zingatia futbol ni mchezo wa wazi.
Kwa maana iyo yanga ubora wa yanga ni sababu ya madawa kwa misimu yote mitatu? Kafika fainali kombe la shirikisho sababu ya madawa? Kacheza robo fainali klabu bingwa sababu ya madawa? Uko sawa kweli wewe kichwani?
 
Breaking News
Tabora United nao wameomba kwa Bodi ya ligi wahamishie mechi zao za nyumbani Uwanja wa KMC Mwenge.
Hawa Tabora United sijui wanataka nini?
 
Back
Top Bottom