Yanga yahamishia makazi katika Uwanja wa KMC Complex

Yanga yahamishia makazi katika Uwanja wa KMC Complex

Scars

JF-Expert Member
Joined
Apr 8, 2017
Posts
48,055
Reaction score
116,512
Hiyo ni baada ya vipigo viwili mfululizo.

Hapa sasa ndio kuna kitu ambacho uongozi wa Yanga unatuacha njia panda sisi wadau wa soka.

Kama management iliona tatizo la wao kupoteza mechi mbili lilisababishwa na uwanja, kwanini wamuwekee vikao Gamondi usiku wa manane?

Tushike lipi sasa?

Tatizo ni uwanja au ni kocha?

Azizi Ki amekuwa extreme free kwenye kumbi za starehe akila shisha, kitu hatarishi kwa afya ya mchezaji lakini pia hata kwa regular person ambaye duties zake sio soka.

Bado hawalioni hilo kama tatizo wameenda kwenye uwanja?

Kwa research ndogo nikiyofanya kwa mashabiki wa Yanga waliokuwa wanazungumzia sababu za kupoteza kwa mchezo wengi walitaja udhaifu wa safu yao ya ulinzi.

Wengi walitaja kukosekana kwa wachezaji kadhaa ambao ni muhimili wa timu kuwa ndio sababu iliyo wagharimu kupoteza mechi.

Hii ya uwanja kuwa ni sababu sioni kama waliofanya maamuzi walifikiria sahihi au ndio zile emotions baada ya kufungwa.

wasafifm-20241109-0001.jpg
 
Club namba moja nchini Tanzania na ukanda wote wa kusini mwa jangwa la Sahara, mabingwa mara Tatu mfululizo wa Ligi kuu bara sasa watautumia uwanja wa KMC Complex, Mwenge kama uwanja wa Nyumbani.
Hii ni baada kufanyiwa figisu na hujuma za wazi zilizobainika kutoka kwa timu pinzani zilizoungana kuitaka kuishusha Yanga, Hatimaye uongozi umeshtuka mapema na bahati nzuri bado ligi ndiyo kwanza inaanza, Hivyo imekuwa wakati sahihi kwa viongozi kuchukua hatua haraka.
Gb9Uc1nWwAAfZhc (1).jpg
 
Azam na 5imba ni Kenge, sanasana Azam, Vilabu vinavyokuja kucheza na Yanga wanawapokea na kuwapa ushirikiano, Ingekuwa jambo la ajabu Yanga kuendelea kuung'ang'ani ule uwanja. Wanaruhusu uwanja utumike kwa propaganda za kuichafua Yanga, mara sindano, mara uchawi nk. KMC hawana ushindani wowote wa nafasi dhidi ya Yanga, tofauti na Azam ambao ni washindani korofi. Maamuzi sahihi kwa wakati sahihi
 
Back
Top Bottom