Yanga yaihitimisha mzunguko wa kwanza kwa kuisambaratisha Ruvu Shooting magoli 2 kwa 1

Vise versa ya game ya mtani jana
-Mtani jana alianza kufunga 1 game ikaisha 2 1
-Wakimataifa leo wameanza kufungwa 1 game ikaisha 2 1
-Haya mambo kama u Freemason yani
 
Dah! Plujim anaondoka sasa, tumsubiri Mzambia atatuletea nini mzunguko wa pili.
Timu ipo vizuri akiendeleza falsafa hii hii hakuna shida kisha kama ana mfumo wake aende nao taratibu tutafika na hata wachanganya wachezaji
 
Timu ipo vizuri akiendeleza falsafa hii hii hakuna shida kisha kama ana mfumo wake aende nao taratibu tutafika na hata wachanganya wachezaji

Mkuu Chama kwa huyu Mzambia wamelenga kwenye klabu bingwa Africa.
Binafsi naamini viongozi waliona tungeshiriki kocha akiwa Babu yangetokea yale yale ya mwaka huu.
Wacha tuone, Babu kesha play part yake tumsubiri Mzambia ngwe ya pili atatuletea nini.
 
Hili limeniumiza sana,chondechonde jamani tusijeharibikiwa.
Sijui kwanini ila nina hofu sana,sipo tayari kumuona Plujim akiondoka.

Nifah Binafsi naamini kwa Lwandamina Yanga wamelenga kwenye Club Bingwa Africa ambayo tutashiriki Mwakani.
Naamini viongozi wanataka kuona mabadiliko ya kiufundi, hii Kamari inachezwa, sijui mwisho wa Kamari hii.
Wacha tuone.
 
Na mpiraaaaaaaaaaaaaaaaa
Umekwishaaaaaaaa
Rekodi inakwenda kujirudia.
Shukran Msuva na Niyonzima.

Hongereni mashabiki wote wa Yanga, daima Mbele...nyuma mwiko.
Dada upo vizuri kwa kutoa taarifa una taaluma ya uandishi nini?
 
Dada upo vizuri kwa kutoa taarifa una taaluma ya uandishi nini?
Hii ndio taaluma niliyokuwa nikiipenda,nilitamani sana kuwa mwandishi wa habari.
Bahati mbaya ndoto zangu hazijaweza kutimia...ndio maana natumia kipaji changu kutupia vionjo humu.
 
Nifah Binafsi naamini kwa Lwandamina Yanga wamelenga kwenye Club Bingwa Africa ambayo tutashiriki Mwakani.
Naamini viongozi wanataka kuona mabadiliko ya kiufundi, hii Kamari inachezwa, sijui mwisho wa Kamari hii.
Wacha tuone.
Tuombee kheri In Shaa Allah.
 
Na mpiraaaaaaaaaaaaaaaaa
Umekwishaaaaaaaa
Rekodi inakwenda kujirudia.
Shukran Msuva na Niyonzima.

Hongereni mashabiki wote wa Yanga, daima Mbele...nyuma mwiko.
Kumbe Nifah nawewe ni wa kimataifaaaaa,,safiiiiiiii
 
Hili limeniumiza sana,chondechonde jamani tusijeharibikiwa.
Sijui kwanini ila nina hofu sana,sipo tayari kumuona Plujim akiondoka.

hata mimi sipendi aondoke.kubadilisha kocha katikati ya msimu sio poa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…