Kabisa kiongoziKweli ushindi mwembamba na nafasi tunatengeneza goli moja huwa halina mwenyewe.
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Nifah usiku mwema .........ulale salama na lazima niote Ushungi wakooo huo kichwani
Kweli ushindi mwembamba na nafasi tunatengeneza goli moja huwa halina mwenyewe.
Timu ipo vizuri akiendeleza falsafa hii hii hakuna shida kisha kama ana mfumo wake aende nao taratibu tutafika na hata wachanganya wachezajiDah! Plujim anaondoka sasa, tumsubiri Mzambia atatuletea nini mzunguko wa pili.
Sana,lakini mwisho wa siku ubora na waliokuwa bora vinajitenga kwa ushindi.hawa madogo wanakamia sana gemuu,.....
Hili limeniumiza sana,chondechonde jamani tusijeharibikiwa.Dah! Plujim anaondoka sasa, tumsubiri Mzambia atatuletea nini mzunguko wa pili.
Timu ipo vizuri akiendeleza falsafa hii hii hakuna shida kisha kama ana mfumo wake aende nao taratibu tutafika na hata wachanganya wachezaji
Hili limeniumiza sana,chondechonde jamani tusijeharibikiwa.
Sijui kwanini ila nina hofu sana,sipo tayari kumuona Plujim akiondoka.
Dada upo vizuri kwa kutoa taarifa una taaluma ya uandishi nini?Na mpiraaaaaaaaaaaaaaaaa
Umekwishaaaaaaaa
Rekodi inakwenda kujirudia.
Shukran Msuva na Niyonzima.
Hongereni mashabiki wote wa Yanga, daima Mbele...nyuma mwiko.
Hii ndio taaluma niliyokuwa nikiipenda,nilitamani sana kuwa mwandishi wa habari.Dada upo vizuri kwa kutoa taarifa una taaluma ya uandishi nini?
Tuombee kheri In Shaa Allah.Nifah Binafsi naamini kwa Lwandamina Yanga wamelenga kwenye Club Bingwa Africa ambayo tutashiriki Mwakani.
Naamini viongozi wanataka kuona mabadiliko ya kiufundi, hii Kamari inachezwa, sijui mwisho wa Kamari hii.
Wacha tuone.
Kama yupo msalani huyo jamaa wa jezi ya blue haya ndio mateso bila chuki.kali ya mwezi
Itakuwa ngumu sana.
Kuna timu inashindwa kuwalipa mshahara wachezaji wake lakini eti ipo tayari kutoa hela kwa RVS ili waiwekee ngumu Yanga.
Kumbe Nifah nawewe ni wa kimataifaaaaa,,safiiiiiiiiNa mpiraaaaaaaaaaaaaaaaa
Umekwishaaaaaaaa
Rekodi inakwenda kujirudia.
Shukran Msuva na Niyonzima.
Hongereni mashabiki wote wa Yanga, daima Mbele...nyuma mwiko.
Hili limeniumiza sana,chondechonde jamani tusijeharibikiwa.
Sijui kwanini ila nina hofu sana,sipo tayari kumuona Plujim akiondoka.