Hayo mambo ya hulka ni mengine mimi nilikupa fact kuwa mashabiki wamezigwaya rangi za timu ukanibishia kuwa si kweli.Mbona logic ni simple tu, kwa mara ya kwanza Yanga wame introduce rangi ya dark blue kwenye jersey ni huruka ya binadamu kupenda kitu kipya mbona mambo madogo yanakupa shida
Kinacho kuuma wewe ni kipi? be specific usaidiweHayo mambo ya hulka ni mengine mimi nilikupa fact kuwa mashabiki wamezigwaya rangi za timu ukanibishia kuwa si kweli.
Utopolo hapa wametumia akili nyingi.
Ha ha haa! Umenikumbusha mbunge mmoja alismsema mwenzie kuwa Mheshimiwa ameonyesha upumbavu wa hali ya juu!Inahitaji ujasiri wa kichawi kutumia maneno utopolo na kutumia akili katika sentensi moja
Getafe ya Malawi labda , unaona kuna mfanano hapo?View attachment 2502251View attachment 2502252
Halafu kumbe hata katiba yenu inataja rangi za timu. Mmeuza utu wenu kwa shekeli, mtakuja kuvalishwa jezi nyekundu siku moja.Kinacho kuuma wewe ni kipi? be specific usaidiwe
Sijaona udhalilishaji labda unionyeshe. Halafu hii mada ilikua mimi na wewe sio mtu mwingineKwani yeye dini yake inaruhusu kudhalilisha watu vile anavyofanya yeye kwenye social network au huoni udhalilishaji anaofanya mitandaoni
Sent from my SM-N950F using JamiiForums mobile app
Kama wewe tuYanga hawanaga akili
Kama wewe tuUnaliwa hauogi
Sasa kwani ww nilivyosema nguruwe pori umeelewaje au ulivamia mada tuSijaona udhalilishaji labda unionyeshe. Halafu hii mada ilikua mimi na wewe sio mtu mwingine
Siyo hiyo , yenyewe ni hiiUnazungumzia aibu kama hii? View attachment 2500688
Siwezi kuvamia mada wewe ndio ulianza kuni quote. NikakujibuSasa kwani ww nilivyosema nguruwe pori umeelewaje au ulivamia mada tu
Sent from my SM-N950F using JamiiForums mobile app