Yanga yaingia mkataba na kampuni ya vifaa vya umeme ya HAIER

Yanga yaingia mkataba na kampuni ya vifaa vya umeme ya HAIER

Inakuwaje mashabiki wengi wa Yanga wamekimbilia jezi za blue na mmezigwaya jezi za njano na zile za kijani? Hizi rangi ndiyo utambulisho wenu toka enzi na enzi, mna maana gani kuzikacha jezi za rangi hiyo? Je kuna mashabiki wanaona aibu kutambulika kirahisi kama ni Uto maana jezi za blue na jina la mdhamini mpya itachukua muda kuzoeleka kama ni za Yanga.
Kwani hio ya blue ni ya TP Mazembe?
 
Kwenye uzi tu nawakubali sana YangaView attachment 2500738
Pengine unaongea kiutani wa jadi!
Lakin kama sio hvyo huo utakuwa

Ujinga mtupu na ushamba... Ukikosa exposure hata uwe vp Kuna sehemu utapata sonona....

Home kit jersey ya MAN U na ARSENAL zinafanana karibia kwa kila kitu ila sijasikia mashabiki wakibezana Habari za kuigana kwa jersey

Na pengine hata wewe ni shabiki mmoja wapo wa hzo team
 
Haya maneno tuliyazoea. Mlianza kwa Al Hilal kuwa wataipiga Yanga kama ngoma ila kilichotokea ni Al Hilal kupaki bus na kuchezewa nusu uwanja. Mkaja kwa Club African mkaongea maneno kibao kuwa mnaijua sana Yanga matumaini ya kimataifa imetanatika ila Yanga kashindia huko huko kwao uarabuni.
Weka matokeo ya Al Hilal na yanga tuone nani aliibuka kidedea
 
Pengine unaongea kiutani wa jadi!
Lakin kama sio hvyo huo utakuwa

Ujinga mtupu na ushamba... Ukikosa exposure hata uwe vp Kuna sehemu utapata sonona....

Home kit jersey ya MAN U na ARSENAL zinafanana karibia kwa kila kitu ila sijasikia mashabiki wakibezana Habari za kuigana kwa jersey

Na pengine hata wewe ni shabiki mmoja wapo wa hzo team
Kwenye jukwaa hili hasa mambo ya simba na yanga usiwe sana siriaz
 
Getaffe fc,bhna
Getafe ya Malawi labda , unaona kuna mfanano hapo?
Get1a.jpg
IMG_20230131_235404.jpg
 
Mimi dini yangu inanikataza kumuita au kumfananisha na mnyama binadamu yoyote yule katika hali na mazingira yoyote aliyonayo.
Kwani yeye dini yake inaruhusu kudhalilisha watu vile anavyofanya yeye kwenye social network au huoni udhalilishaji anaofanya mitandaoni

Sent from my SM-N950F using JamiiForums mobile app
 
Zingine zimebaki au haziuziki sana kulinganisha ya blue? Siku hizi unafanya kazi za kuhesabu jezi madukani? Swala la kubaki nakukatalia labda uniambie kuwa haziuziki sana kama ya rangi ya blue

Hilo la kubadili rangi inayotambulisha brand ya Yanga, nakubaliana na wewe hasa baada ya kuifanya iwe jezi ya nyumbani. Bora ingekuwa ni third kit sio mbaya.kwasababu mara nyingi third kit sio lazima iwe ndani ya misingi ya rangi ya timu
Nimeangalia video kadhaa mashabiki wa Yanga wenyewe wanakiri kuwa za blue ndiyo kali na pale klabuni zimeisha ila zingine bado zipo, wanazinunua zingine kwa shingo upande.

Swali langu liko palepale, Yanga na mashabiki wake wameanza kuzigwaya rangi za timu na hii ina maana gani?
 
Utopolo hapa wametumia akili nyingi. Sisi kujidai uzalendo wa kipuuzi? Uzalendo upo moyoni, si nguoni. Hatutaki tena VISIT TANZANIA, tunataka Mpunga.
Natamani urudi hapa baada ya tamko la SportPesa kutoka leo
 
Nipo. Nilidhani waliwasiliana na mdhamini Mkuu na kukubaliana mdhamini huyo akae kifuani.
Sasa unatakiwa ufute kauli yako ya kuwapongeza Yanga na kuwaponda Simba, maana ulichodhani wakati unaandika umekuja kujua kumbe sio ilivyo, na kwamba Simba si kwamba hawana akili, ila walikuwa wanaheshimu utaratibu
 

Itaidhamini katika mashindano ya kombe la shirikisho ambayo klabu ya yanga inashiiriki

Mkataba huo wenye thamani ya shilingi bilioni moja na millioni Mia tano utaisaidia yanga katika mashindano hayo

Jezi za yanga za shirikisho zenye nembo ya haier zitauzwa sh 50,000
Bilioni 1 na milion 500 ndani ya mechi 6 za makundi.(akivuka hatua ya makundi mechi zinaongezeka). Ni Hela ndefu
 
Nipo. Nilidhani waliwasiliana na mdhamini Mkuu na kukubaliana mdhamini huyo akae kifuani.
Toka mwanzo Sportpesa alikuwa amepewa haki za kuweka nembo yake kwenye mashindano ya kimataifa?
 
Nimeangalia video kadhaa mashabiki wa Yanga wenyewe wanakiri kuwa za blue ndiyo kali na pale klabuni zimeisha ila zingine bado zipo, wanazinunua zingine kwa shingo upande.

Swali langu liko palepale, Yanga na mashabiki wake wameanza kuzigwaya rangi za timu na hii ina maana gani?
Mbona logic ni simple tu, kwa mara ya kwanza Yanga wame introduce rangi ya dark blue kwenye jersey ni huruka ya binadamu kupenda kitu kipya mbona mambo madogo yanakupa shida
 
Back
Top Bottom