Yanga yaingia mkataba na kampuni ya vifaa vya umeme ya HAIER

Yanga yaingia mkataba na kampuni ya vifaa vya umeme ya HAIER

Tusubiri kidogo kabla hatujazungumza nani ameiga kuchukua rangi ya blue. Yanga traditionally anatumia rangi tatu, hii blue wameitolea wapi?
 
Wadhaminu walikosa washauri yaani uweke udhamini kwenye team iliyobakisha mechi 3 tu za Caf confederation cup baada ya hapo wanarudi wavuvi camps.

Sent from my SM-N950F using JamiiForums mobile app
 
Wadhaminu walikosa washauri yaani uweke udhamini kwenye team iliyobakisha mechi 3 tu za Caf confederation cup baada ya hapo wanarudi wavuvi camps.

Sent from my SM-N950F using JamiiForums mobile app
Wenzako walikua wanaimba table wewe upo busy kula ubuyu na barafu matokeo yake hata 3×2 haujui
 
Utopolo hapa wametumia akili nyingi.

Sisi kujidai uzalendo wa kipuuzi? Uzalendo upo moyoni, si nguoni.

Hatutaki tena VISIT TANZANIA, tunataka Mpunga.
Lazima kuna wajanja walichukua hela Wizara ya Maliasili na utalii, Wananchi saizi mahesabu ni hela tu,nyie endelea kujipendekeza kwa wanasiasa.

NB:Wenzako watakuchukia sana,maana umeacha Akili kidogo za kutafakari
 
Usiishie kuweka matokeo hayo, nenda mbele kwa kueleza ni nani alisonga mbele kuingia robo fainali kati ya AS Vita na Simba (pamoja na Vita kushinda kwa magoli lukuki). Tunajua Al Ahly na Simba sote tulisonga mbele, so it was a win-win situation. Haya wewe mboga mboga ambaye hukufungwa uliishia wapi?
Jichunge usiwe kifewe
JamiiForums1499925620.jpg
 
Back
Top Bottom