jombaa askari
JF-Expert Member
- Sep 27, 2017
- 494
- 530
- Thread starter
- #121
Anajua sanasema huyu Sheria Ngowi anastahili sanamu pale jangwani...justkidding
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anajua sanasema huyu Sheria Ngowi anastahili sanamu pale jangwani...justkidding
Zitaje hizo rangi tatuTusubiri kidogo kabla hatujazungumza nani ameiga kuchukua rangi ya blue. Yanga traditionally anatumia rangi tatu, hii blue wameitolea wapi?
Unauliza maswali ya kijingaZitaje hizo rangi tatu
Ni leo usiku hutalalaOooh ndio maana unashabikia timu ya wachawi[emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 2501331
Wenzako walikua wanaimba table wewe upo busy kula ubuyu na barafu matokeo yake hata 3×2 haujuiWadhaminu walikosa washauri yaani uweke udhamini kwenye team iliyobakisha mechi 3 tu za Caf confederation cup baada ya hapo wanarudi wavuvi camps.
Sent from my SM-N950F using JamiiForums mobile app
Wewe ndo umekosa ushauri yaani hujui kua kwenye makundi wanacheza mechi 6🚮Wadhaminu walikosa washauri yaani uweke udhamini kwenye team iliyobakisha mechi 3 tu za Caf confederation cup baada ya hapo wanarudi wavuvi camps.
Sent from my SM-N950F using JamiiForums mobile app
Kupendwa rahaaaaa[emoji847][emoji3059]Limeisha hilo sema lingine Mzanzibar wangu [emoji7],
Utanunua mbili me utaniwekea hiyo ya Dark Blue nimeikubali
Hawa ndio wanasheria wa FeisalWewe ndo umekosa ushauri yaani hujui kua kwenye makundi wanacheza mechi 6[emoji706]
Kumbe wana yanga mpo subirini mje kula hamsa hamsa pale taifa na mpira wenu wa bahashaWenzako walikua wanaimba table wewe upo busy kula ubuyu na barafu matokeo yake hata 3×2 haujui
Lazima kuna wajanja walichukua hela Wizara ya Maliasili na utalii, Wananchi saizi mahesabu ni hela tu,nyie endelea kujipendekeza kwa wanasiasa.Utopolo hapa wametumia akili nyingi.
Sisi kujidai uzalendo wa kipuuzi? Uzalendo upo moyoni, si nguoni.
Hatutaki tena VISIT TANZANIA, tunataka Mpunga.
Team inajitangaza ina hela ila ilikuwa inamlipa feisal laki nne kwa mwezi na saidou ntibanzonkiza anawadai tambwe aliwapeleka cas hizo hela anakula nani AZAM inawadai hela za gadiel miko mpaka leo wananchiiiiiHawa ndio wanasheria wa Feisal
Ukifingwa mechi tatu za kwanza hizo 6 zinafikaje wakati mnakuwa mnakamilisha ratiba tuWewe ndo umekosa ushauri yaani hujui kua kwenye makundi wanacheza mechi 6[emoji706]
Mavi ya kalehayanuki wahenga walisemaBila kusahau hizi hapaView attachment 2500938View attachment 2500939
Jichunge usiwe kifeweUsiishie kuweka matokeo hayo, nenda mbele kwa kueleza ni nani alisonga mbele kuingia robo fainali kati ya AS Vita na Simba (pamoja na Vita kushinda kwa magoli lukuki). Tunajua Al Ahly na Simba sote tulisonga mbele, so it was a win-win situation. Haya wewe mboga mboga ambaye hukufungwa uliishia wapi?
Ungeweka wewe ingependeza zaidiIzo zote ugenini. Weka na mechi za nyumbani