IBRA wa PILI
JF-Expert Member
- Oct 12, 2017
- 1,503
- 2,426
Na iyo ni blue ichek kwa makiniKweli mwenye nguvu mpishe, yaani gsm amelazimisha nyeusi kuwa rangi rasmi ya yanga nyumbani na sionjano tena
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na iyo ni blue ichek kwa makiniKweli mwenye nguvu mpishe, yaani gsm amelazimisha nyeusi kuwa rangi rasmi ya yanga nyumbani na sionjano tena
CONNECTION iloandikwa humo ni ile ya mama J ama kuna nyingine inakuja?
Itaidhamini katika mashindano ya kombe la shirikisho ambayo klabu ya yanga inashiiriki
Mkataba huo wenye thamani ya shilingi bilioni moja na millioni Mia tano utaisaidia yanga katika mashindano hayo
Jezi za yanga za shirikisho zenye nembo ya haier zitauzwa sh 50,000
Hii biashara kichaa ya Visit Tanzania kwani haina mwisho?Utopolo hapa wametumia akili nyingi.
Sisi kujidai uzalendo wa kipuuzi? Uzalendo upo moyoni, si nguoni.
Hatutaki tena VISIT TANZANIA, tunataka Mpunga.
Zamani Jf ilikuwa na watu waelewa sn,sasa hivi imevamiwa na kundi la vilaza kama uyu anayeaminisha watu kwamba serikali iliwalazimisha Simba kuvaa VISIT TANZANIA [emoji1745]Visit tz ilikua ni ombi au agizo la ikulu, unaweza kuibishia ikulu? Serikali inatambua potential ya simba sio utopolo.
Rangi ya BahatiKweli mwenye nguvu mpishe, yaani gsm amelazimisha nyeusi kuwa rangi rasmi ya yanga nyumbani na sionjano tena
SaSa hutaki? ilikuwa ni ombi la serikali kupitia wizara ya utalii na kuna speech ya Ndumbaro akilizungumzia hilo.Zamani Jf ilikuwa na watu waelewa sn,sasa hivi imevamiwa na kundi la vilaza kama uyu anayeaminisha watu kwamba serikali iliwalazimisha Simba kuvaa VISIT TANZANIA [emoji1745]
Mungu saidia hii pang'ang'a ijitambueVisit tz ilikua ni ombi au agizo la ikulu, unaweza kuibishia ikulu? Serikali inatambua potential ya simba sio utopolo.
Ukiushiriki utakondaWivu ni kidonda
Rangi ya blue sio nyeusiKweli mwenye nguvu mpishe, yaani gsm amelazimisha nyeusi kuwa rangi rasmi ya yanga nyumbani na sionjano tena
we dada ukizeeka utakuwa mchawi[emoji23]Mbona kama neti
Unajuaje labda hata sasa ni mchawi?we dada ukizeeka utakuwa mchawi[emoji23]
sema huyu Sheria Ngowi anastahili sanamu pale jangwani...justkidding
Itaidhamini katika mashindano ya kombe la shirikisho ambayo klabu ya yanga inashiiriki
Mkataba huo wenye thamani ya shilingi bilioni moja na millioni Mia tano utaisaidia yanga katika mashindano hayo
Jezi za yanga za shirikisho zenye nembo ya haier zitauzwa sh 50,000
Wala sisi hatushindani na Yanga.Kuna wale wazee wa kuongeza sifuri kwa vile wameona Uto wamepata mdhamin wa 1.5b utasikia na wao wanasema tumepata mdhamini wa 10b!
Limeisha hilo sema lingine Mzanzibar wangu 😍,Anayenipenda jamani aninunulie hiyo jezi [emoji847]
View attachment 2501142
Oooh ndio maana unashabikia timu ya wachawi[emoji23][emoji23][emoji23]Unajuaje labda hata sasa ni mchawi?