Yanga yaingia mkataba na kampuni ya vifaa vya umeme ya HAIER

Yanga yaingia mkataba na kampuni ya vifaa vya umeme ya HAIER

Unazungumzia aibu kama hii? View attachment 2500688
Bila kusahau hizi hapa
FB_IMG_1613519164902.jpg
IMG-20200718-WA0002.jpg
 
Usiishie kuweka matokeo hayo, nenda mbele kwa kueleza ni nani alisonga mbele kuingia robo fainali kati ya AS Vita na Simba (pamoja na Vita kushinda kwa magoli lukuki). Tunajua Al Ahly na Simba sote tulisonga mbele, so it was a win-win situation. Haya wewe mboga mboga ambaye hukufungwa uliishia wapi?
 
Hongera Utopolo kwa kupokea mshiko ila wasiwasi wangu ni aibu watakayovuna hao Haier kwa kipigo cha hao Utopolo. Badala ya Nembo litatangulia jina Uto
Kwanini hii kampuni ya Haier wasiingie mkataba na Simba?
Tuache roho ya korosho, hii ni hatua nzuri kwa klabu zetu kuja kupata dili za namna hii.
 
Haya maneno tuliyazoea. Mlianza kwa Al Hilal kuwa wataipiga Yanga kama ngoma ila kilichotokea ni Al Hilal kupaki bus na kuchezewa nusu uwanja. Mkaja kwa Club African mkaongea maneno kibao kuwa mnaijua sana Yanga matumaini ya kimataifa imetanatika ila Yanga kashindia huko huko kwao uarabuni.
Kule club bingwa ilikuaje joo
 
Hapa tunazungumzia kiwango cha uchangiaji ama mkataba wa Yanga na ule wa Visit Tanzania?

Be informed, mimi ni Mwanachama hai wa Simba. Nina jezi zote original.
Uwanjani naenda pale inapobidi. Michango ya Ujenzi nimechangia.


Ulitaka kusemaje?
Visit tz ilikua ni ombi au agizo la ikulu, unaweza kuibishia ikulu? Serikali inatambua potential ya simba sio utopolo.
 
Kweli mwenye nguvu mpishe, yaani gsm amelazimisha nyeusi kuwa rangi rasmi ya yanga nyumbani na sionjano tena
Sio nyeusi io, ila wamezingua hakukua na ulazima wa kufanya hivyo maana kila kitu wamekifanya poa sehemu ndogo kama io haikua na ulazima, labda wana malengo ya mbali zaidi ambayo sisi hatuyaoni ngoja tusubiri.
 
Back
Top Bottom