cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
Yes hii ya kijani iko vyedi mnoooo.umeona eeh.
tunaojua nyuzi kali ni wachache,
humu jf ni mimi na wewe tu mrembo
Wamewezaaa aseeeh
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yes hii ya kijani iko vyedi mnoooo.umeona eeh.
tunaojua nyuzi kali ni wachache,
humu jf ni mimi na wewe tu mrembo
Akiipiga simba ww kama mwana yanga unaumia nini?Sisi sio levo zao hao makolo, mo anaipiga simba ukihoji watakuja na hoja kuwa wekeza wewe
Hao ndio tule tujamaa tunavaaga suruali za kubana , socks na yebo yeboSitaki kuamini kwamba kati ya mashabiki wote wa Yanga, huna hata ndugu, rafiki, au jamaa wa karibu!! Umeamua kuwatukana wote kisa ushabiki wa mpira?? Think twice Buda!
Ni wa mechi za shirikisho tu za msimu huuNi mkataba wa Miezi Mingapi?
Nahisi watatoa tu.Bora wewe ume appreciate, jezi ni nzuri hivi simba nao watatoa zao?
ubunifu huo
Usiishie kuweka matokeo hayo, nenda mbele kwa kueleza ni nani alisonga mbele kuingia robo fainali kati ya AS Vita na Simba (pamoja na Vita kushinda kwa magoli lukuki). Tunajua Al Ahly na Simba sote tulisonga mbele, so it was a win-win situation. Haya wewe mboga mboga ambaye hukufungwa uliishia wapi?
Kolo uzi mweusi uliwaharibu sana kisaikolojia. Ila katika hizi mpya hakuna uzi mweusi jombaaMm shabili wa simba ila kwa iziz jez mmeua ingawaje mmeiga lakini jez kal kama ile nyeusi na kijan
Kwanini hii kampuni ya Haier wasiingie mkataba na Simba?Hongera Utopolo kwa kupokea mshiko ila wasiwasi wangu ni aibu watakayovuna hao Haier kwa kipigo cha hao Utopolo. Badala ya Nembo litatangulia jina Uto
Kule club bingwa ilikuaje jooHaya maneno tuliyazoea. Mlianza kwa Al Hilal kuwa wataipiga Yanga kama ngoma ila kilichotokea ni Al Hilal kupaki bus na kuchezewa nusu uwanja. Mkaja kwa Club African mkaongea maneno kibao kuwa mnaijua sana Yanga matumaini ya kimataifa imetanatika ila Yanga kashindia huko huko kwao uarabuni.
Visit tz ilikua ni ombi au agizo la ikulu, unaweza kuibishia ikulu? Serikali inatambua potential ya simba sio utopolo.Hapa tunazungumzia kiwango cha uchangiaji ama mkataba wa Yanga na ule wa Visit Tanzania?
Be informed, mimi ni Mwanachama hai wa Simba. Nina jezi zote original.
Uwanjani naenda pale inapobidi. Michango ya Ujenzi nimechangia.
Ulitaka kusemaje?
Izo zote ugenini. Weka na mechi za nyumbaniUnazungumzia aibu kama hii? View attachment 2500688
Kweli mwenye nguvu mpishe, yaani gsm amelazimisha nyeusi kuwa rangi rasmi ya yanga nyumbani na sionjano tenaHome kit for CAF CCView attachment 2500696
Sio nyeusi io, ila wamezingua hakukua na ulazima wa kufanya hivyo maana kila kitu wamekifanya poa sehemu ndogo kama io haikua na ulazima, labda wana malengo ya mbali zaidi ambayo sisi hatuyaoni ngoja tusubiri.Kweli mwenye nguvu mpishe, yaani gsm amelazimisha nyeusi kuwa rangi rasmi ya yanga nyumbani na sionjano tena
Wewe ni MWEHUVisit tz ilikua ni ombi au agizo la ikulu, unaweza kuibishia ikulu? Serikali inatambua potential ya simba sio utopolo.
Mbumbumbu wahed hao..Sisi sio levo zao hao makolo, mo anaipiga simba ukihoji watakuja na hoja kuwa wekeza wewe