Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wivu ni kidondaMbona kama neti
Mashabiki wenyewe ni waganga wa kienyeji na mashoga. Nani anunue jezi 50,000Itaidhamini katika mashindano ya kombe la shirikisho ambayo klabu ya yanga inashiiriki
Mkataba huo wenye thamani ya shilingi bilioni moja na millioni Mia tano utaisaidia yanga katika mashindano hayo
Jezi za yanga za shirikisho zenye nembo ya haier zitauzwa sh 50,000
NakaziaNi wivu tu
NakaziaWivu ni kidonda
huu ni mpira tu usitokwe akiliMashabiki wenyewe ni waganga wa kienyeji na mashoga. Nani anunue jezi 50,000
Bora wewe ume appreciate, jezi ni nzuri hivi simba nao watatoa zao?Watani kwenye jezi, mmegonga vizuri.
Uzi mzuri huu.
ubunifu huoManyokanyoka [emoji706]
Wapo vizuri ni vile tu huu utani wa jadi unatufanya tusioneshe kuvikubali vizuri vya upande mwingine.Kwenye uzi tu nawakubali sana YangaView attachment 2500738
𝑺𝒊𝒑𝒂𝒕𝒊 𝒑𝒊𝒄𝒉𝒂 𝒉𝒊𝒚𝒐 𝑵𝒚𝒐𝒎𝒊 𝒊𝒕𝒂𝒌𝒂𝒗𝒚𝒐𝒌𝒖𝒘𝒂 𝒑𝒂𝒍𝒆 𝑫𝒖𝒌𝒂 𝒍𝒂 𝒀𝒂𝒏𝒈𝒂 𝑱𝒂𝒏𝒈𝒘𝒂𝒏𝒊.. (𝑰𝒕𝒂𝒃𝒊𝒅𝒊 𝒖𝒘𝒂𝒉𝒊 𝒉𝒂𝒔𝒘𝒂)Kesho mapema naenda dukani
😂 kwenye hilo tunalifanyia kazi, makolo kimataifa sio siri mmetuacha mbali ila tutafika na kuwaacha hapo mlipofika sasa ni suala la muda tu maana uwekezaji sina shaka nao.Aisee Uto mko vizuri kwenye designing.Natamani na sisi tuwe hivyo. Tatizo lenu mwonekano na matokeo kwenye pitch (huko kimataifa) ni kama mafuta na maji. Yaani mnakuwa kama mwanafunzi mnadhifu kuliko wote dhuleni ila mwisho wa siku anapiga division 0 Necta.
Hiyo mada tutazungumza siku nyingine. Asante kwa kuukubali uzi.Aisee Uto mko vizuri kwenye designing.Natamani na sisi tuwe hivyo. Tatizo lenu mwonekano na matokeo kwenye pitch (huko kimataifa) ni kama mafuta na maji. Yaani mnakuwa kama mwanafunzi mnadhifu kuliko wote dhuleni ila mwisho wa siku anapiga division 0 Necta.
Kolo wewe angalau una adabuWatani kwenye jezi, mmegonga vizuri.
Uzi mzuri huu.
Sitaki kuamini kwamba kati ya mashabiki wote wa Yanga, huna hata ndugu, rafiki, au jamaa wa karibu!! Umeamua kuwatukana wote kisa ushabiki wa mpira?? Think twice Buda!Mashabiki wenyewe ni waganga wa kienyeji na mashoga. Nani anunue jezi 50,000