barafuyamoto
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 32,378
- 29,739
Unakubali alafu kama inakuuma piaTofauti mkataba wa Simba mmiliki Ni Familia ya Mohamed Dewji Mo, hapo ndipo Yanga African wamepiga bao kubwa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unakubali alafu kama inakuuma piaTofauti mkataba wa Simba mmiliki Ni Familia ya Mohamed Dewji Mo, hapo ndipo Yanga African wamepiga bao kubwa.
Bwawa la kufuga vyura lileKaunda Stadium ni uwanja wa nini kwani
Kwani mo ana asilimia ngapi simba? UsikurupukeMo anavuta bilion 34. Bilion 14 anaingiza kwenye biashara yake Bilion 20 ndio anawapa ile ya uwekezaji. Akili kumkichwa.
Sidhani Kama hao Mbumbumbu wanakuelewaSimba TV na Yanga TV sasa zina mikataba tofauti.
Mbali ya Ligi kuu, Azam hana exclusive rights za live events za Simba, labda nao waamue ku-negotiate.
Simba anaweza kufanya deal na TV nyingine au akaanzisha TV yake pia.
Hapo Dewji anachukua 49%. Wakati hii exclusive deal ni 100% Young AfRICANS KAMA cLUB.
Wawekezaji watachukua hii kama ni asset ya Yanga kabla ya kuwekeza au kuzungumza.
Huo mwiko uko sawa huko nyuma maana usije waumiza .......joke[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Daima mbele nyuma mwiko.
Simba nguvu moja.
Simba inategemea sana mitandao ya kijamii kama vile Instagram na Tweeter. Pia ina viongozi ambao ni kama celebrities, kwa mfano Haji Manara na Mo Dewji. Wana followers wengi, hata Barbara Gonzalez.Ukiona wameenda yanga ujue wamaingia na simba pia....kwa simba dau lotakua kubwa zaidi.
Acha kutetea ujinga na kukurupuka huku ukijifanya unajua kumbe hamna kitu. Nimekuambia hata uwanja wa kupigia danadana maana yake uwanja wa training. Ac milan wana uwanja wa kisasa kwa ajili ya training unaitwa milanello, pia wa Inter milan unaitwa Suning training centre. Sasa wewe unatetea ujinga kwa hoja ya kukaririshwa.Mkuu acha umbumbumbu unaonekana mpiara umeanza fwatilia juzi tu hapa.
Ac Milan wana uwanja wa mpira?
Inter Milan wana uwanja wa mpira?
Kwani hizo hela unapewa kwa mkupuo?Mo anavuta bilion 34. Bilion 14 anaingiza kwenye biashara yake Bilion 20 ndio anawapa ile ya uwekezaji. Akili kumkichwa.
Tatizo mikia walikuwa wanataka wampangie mpk cha kuongea na kuna mambo ilibidi yeye hayatolee ufafanuzi kitaalamu wanampa yule VUVUZELA ZERUZERUKatika wazungumzaji wote kwenye tukio la leo, nimemkubali Bw. Senzo Mbatha. Jamaa anaijua vizuri football industry na masuala ya contract management. Ukimfuatilia anavyojenga hoja zake na kujibu maswali, yaani mpaka raha. Sielewi kwa nini hakudumu pale Msimbazi. Walimwacha mtu muhimu sana. Ninadhani ndiye engineer wa masuala yote mazuri pale Jangwani.
Usemacho ni kweli na kuna uwezekano Simba akapewa dili nono zaidi maana ana fanbase kubwa hata uwanjani Simba ndio huongozahakuna app kuchochea mkataba huu wanaingia Simba na Yanga ila yanga ndo ameanza Simba anamalizia
Yanga wakijua wataumiaHuu mkatba upo kwa vilabu vyote viwili ndio mahana azam kuna kitu kinaitwa simba tv n yanga tv
Mkuu Sio Kwamba Simba bado haijakamilisha huo mchakato wa muwekezaji kwaiyo unacho kiongea nafikir nadhani na kuhisiaSimba TV na Yanga TV sasa zina mikataba tofauti.
Mbali ya Ligi kuu, Azam hana exclusive rights za live events za Simba, labda nao waamue ku-negotiate.
Simba anaweza kufanya deal na TV nyingine au akaanzisha TV yake pia.
Hapo Dewji anachukua 49%. Wakati hii exclusive deal ni 100% Young AfRICANS KAMA cLUB.
Wawekezaji watachukua hii kama ni asset ya Yanga kabla ya kuwekeza au kuzungumza.
Kukamilisha mchakato kivipi? Lini walisaini huo mkataba na ni wa Shilingi ngapi? Kwa muda gani?Mkuu Sio Kwamba Simba bado haijakamilisha huo mchakato wa muwekezaji kwaiyo unacho kiongea nafikir nadhani na kuhisia
Na vile vile uwepo wa muwekezaji hauizuii kuingia deal na haya makampuni mengine kama sehemu ya biashara zipo taratibu nyingi tuu za kufuata hata kama club ikiwa chini ya muwekezaji?
Simba pia wataingia mkataba soon maana kataja watafanya hivyo kwa Simba na yanga na kwa kila club kulingana na ukubwa wake.
Lamine moro mpaka amerudi kwao ghanaAnayedai mshahara ni mchezaji yupi?
Una uhakika anadai au ni stori tu za vijiweni?
Hahahaha nimefurahia sana!!!...tunaenda uongo kweli kweli?!!..Itachukua muda sana kuanza kueleweshana. Ni vizuri kama tuendelee tu na mambo mengine kwa sasa.
Nakushauri ujitahidi, upo nyuma kwa kiasi fulani and it shows.
Sorry, not to sound standoffish or nothin.