Yanga yaingia mkataba wa Tsh Bilioni 34.8 na Azam Media

Yanga yaingia mkataba wa Tsh Bilioni 34.8 na Azam Media

Hata kama simba watafatwa na Azam deal halita kamilika sababu yule mudi anataka mpaka akiwa na hisa zake 49 deal izo zikiingia ndani pindi na yeye tayar ni mwenyekit ngoma igawike
 
Yes EXCLUSIVELY.
Live events zote ni Azam tu.
Hakuna live kurushwa na Global au sijui Dar 24 ... No!
Kama ulisikia Haji AKIIPONDA app ya YANGA. Yale yalikuwa ni maumivu.
Yanga app. imechochea sana mkataba huu, hata zile friendly matches katikati ya Ligi kule Chamazi, Yanga ilikuwa inachukua milioni 25 na Azam waliona jinsi gani Yanga inavyofuatiliwa.
Za chini ya kapeti mmoja wa watoto wa bakhresa ni Yanga,so Yanga itakapoingia kwenye uwekezaji kati ya wawekezaji 3 mmojawapo anaweza kuwa ni mtoto wa bakhresa 😂
 
Lamine moro mpaka amerudi kwao ghana
Mbona wenzake wapo kambini wanacheza? Kwahiyo mshahara ajalipwa yeye tu wenzake wamelipwa?

Kwahiyo na chikwende pamoja na ajibu ambao hawapo kambini nao hawajalipwa mshahara?

Hebu fwatilia mambo kwanza
 
Imagine 34 kwa miaka 10 na itakuwa inaongezeka kila mwaka ila kuna watu wanatapeliwa huko 20B ndiyo thamani ya timu yao kwa mpaka dunia iishe
Hujui thamani ya club huwa ni ndogo kuliko inachoingiza?
 
Uwanja utajengwa tu
Acha kutetea ujinga na kukurupuka huku ukijifanya unajua kumbe hamna kitu. Nimekuambia hata uwanja wa kupigia danadana maana yake uwanja wa training. Ac milan wana uwanja wa kisasa kwa ajili ya training unaitwa milanello, pia wa Inter milan unaitwa Suning training centre. Sasa wewe unatetea ujinga kwa hoja ya kukaririshwa.
 
Azam wanasonga na watazidi kusonga mbele kwa moto mkali zaidi,kama Utopolo wamevuta huo mpunga basi mkataba wa Simba bingwa wa nchi na inayofatiliwa zaidi mpaka nje ya mipaka ya Tanzania watavuta mpunga mrefu zaidi.
Ndo ilivyo lazima Simba wabebe pakubwa, ni kama kwenye deal la Sportpesa, Yanga walivuna kuliko Simba sababu Simba hakuwa kwenye fomu
 
Ila huyu Jamaa Azam group kila kitu yeye hamna matajiri wengine jamani inamaana TANZANIA kuna tajiri mmoja tu mwenyewe idea za kutengeneza Pesa.

Sababu Azam media sifikiri hata inamiaka 10yrs lkn mambo inayo fanya na kujitanua kwenye media industry ni inakwenda speed ya ajabu.

MMUNGU aliye mpa kampa tu hawa jamaa wanaweza wakaja na idea ya kuuza hata MAVUMBI tu ya barabarani wakakamata soko vile vile.
 
Hoja ya baadhi ya hela kwenda kwa Mo me naona imekaa kijinga sana na wanaochochea ni watu wenye roho za korosho kwa kuhisi kuwa Mo atafaidika sana.

Ikiwa kabla ya huo mkataba huyo Mo aliifanyia Simba Sc sawasawa na matakwa ya kisheria na kila shabiki akaona mafanikio, inakuwaje leo mnataka kumuona kama mwizi ambae atatokomea na hizo fedha? Yani wakati anaikuta simba haina kitu mlifurahi yeye kutoa hela zake kwaajili ya Simba ila leo hii baada ya kuona pesa zinaanza kuingia Simba ndo mumuone hafai? Daaaaah[emoji23], kweli wabongo nyoko.


Na utakuta wanachangia maoni negative kuhusu Mo, hawajawahi kutoa hata 50 kwaajili ya Simba Sc.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio hoja za Waswahili hizo Mkuu usishangae. Wao siku zote ni pangu pakavu tia mchuzi. MO ameisaidia sana Simba.
 
Azam wanasonga na watazidi kusonga mbele kwa moto mkali zaidi,kama Utopolo wamevuta huo mpunga basi mkataba wa Simba bingwa wa nchi na inayofatiliwa zaidi mpaka nje ya mipaka ya Tanzania watavuta mpunga mrefu zaidi.
Ahaa wapi. Labda Mo Dewji hasiwepo.
 
Hoja ya baadhi ya hela kwenda kwa Mo me naona imekaa kijinga sana na wanaochochea ni watu wenye roho za korosho kwa kuhisi kuwa Mo atafaidika sana.

Ikiwa kabla ya huo mkataba huyo Mo aliifanyia Simba Sc sawasawa na matakwa ya kisheria na kila shabiki akaona mafanikio, inakuwaje leo mnataka kumuona kama mwizi ambae atatokomea na hizo fedha? Yani wakati anaikuta simba haina kitu mlifurahi yeye kutoa hela zake kwaajili ya Simba ila leo hii baada ya kuona pesa zinaanza kuingia Simba ndo mumuone hafai? Daaaaah[emoji23], kweli wabongo nyoko.


Na utakuta wanachangia maoni negative kuhusu Mo, hawajawahi kutoa hata 50 kwaajili ya Simba Sc.

Sent using Jamii Forums mobile app
MO ni mwekezaji mzuri sana, tena sana hilo halina ubishi mkuu. Ila sisi ambao tumeangalia huu mpira na kuufuatilia kwa muda mrefu tunaona kuna tatizo la sustainability.
MO anaingia hasara kubwa, ila kwa mapenzi yake hilo siyo tatizo. Manji naye ilikuwa hivyohivyo, Hasanali Gulamali, Dewji wa Yanga, Mohamedi Virani etc nao wote wamepita na wametuachia wachezaji expensive tusioweza kuwalipa.

Mungu aepushe hili, ila naye MO akipita zake, akarithi mtu ambaye ni ukoo wake ila hayuko yari kujitolea kama MO, mtafanyaje?
Tatizo ni sustainability. Bilioni 20 kwa Simba siyo nyingi, simba itengenezewe mazingira ya kujiendesha yenyewe yaliyo mazuri.

Simba ingekuwa na miundombinu yake na mikataba yake mizuri na wachezaji wake wenye thamani kabla ya kutoa tenda ya uwekezaji. Ingekuwa timu moja kubwa sana.
Usiridhike na ubingwa uliotokana na Yanga kufungwa na Coastal. Siyo kwamba Simba kamfunika yanga 1 to 1.
 
Simba inategemea sana mitandao ya kijamii kama vile Instagram na Tweeter. Pia ina viongozi ambao ni kama celebrities, kwa mfano Haji Manara na Mo Dewji. Wana followers wengi, hata Barbara Gonzalez.

Ubovu wa hili kwenye negotiations za Media Partnership ni kuwa itabidi kurasa hizi ziache kuandika na kuonyesha baadhi ya matukio.
Yaani mimi kama AZAM nachukua hizi pages kama competition na itabidi unihakikishie kuwa utaacha kupost mambo ya Simba kabla ya kuniuliza na kuhakikisha hazitaleta migogoro.

This is Negative.
Pia Azam wataangalia siku Yanga ikicheza viewrship ipo vipi na siku Simba ikicheza viewership ipo vipi hasa kwenye TV.
Na mauzo ya Jezi pamoja na merchandise.

Halafu Simba nusu ya mapato yataenda kwa mtu binafsi, anaweza akatumia hizo hela kununua tambuu au kuwapa Simba. Hiyo ni juu yake.

Upende usipende, kwenye hili Yanga wamewapiga bao Simba.
Umeiweka kitaalamu sana
 
MO ni mwekezaji mzuri sana, tena sana hilo halina ubishi mkuu. Ila sisi ambao tumeangalia huu mpira na kuufuatilia kwa muda mrefu tunaona kuna tatizo la sustainability.
MO anaingia hasara kubwa, ila kwa mapenzi yake hilo siyo tatizo. Manji naye ilikuwa hivyohivyo, Hasanali Gulamali, Dewji wa Yanga, Mohamedi Virani etc nao wote wamepita na wametuachia wachezaji expensive tusioweza kuwalipa.

Mungu aepushe hili, ila naye MO akipita zake, akarithi mtu ambaye ni ukoo wake ila hayuko yari kujitolea kama MO, mtafanyaje?
Tatizo ni sustainability. Bilioni 20 kwa Simba siyo nyingi, simba itengenezewe mazingira ya kujiendesha yenyewe yaliyo mazuri.

Simba ingekuwa na miundombinu yake na mikataba yake mizuri na wachezaji wake wenye thamani kabla ya kutoa tenda ya uwekezaji. Ingekuwa timu moja kubwa sana.
Usiridhike na ubingwa uliotokana na Yanga kufungwa na Coastal. Siyo kwamba Simba kamfunika yanga 1 to 1.
Wa Kwetu, MO hataki kutengeneza mazingira hayo! Anajua kabisa akishatengeneza mazingira ya Simba kujitegemea Basi yy kila kitu atalipia Tena kwa mikataba sio Kama ilivyo sasa.
 
Wa Kwetu, MO hataki kutengeneza mazingira hayo! Anajua kabisa akishatengeneza mazingira ya Simba kujitegemea Basi yy kila kitu atalipia Tena kwa mikataba sio Kama ilivyo sasa.
Umezungumza ukweli. Nadhani MO anapenda sana Power na asipokuwa nayo huwa mtu fulani wa kususa.
 
Kwa TUKIO la leo wapenzi na mashabiki wa Yanga tunatakiwa tujiskie FURAHA SANA zaidi ya Ushindi wa JUZI. Soon watatuelewa
 
Na badooo
Screenshot_20210708-152841.jpg
 
Back
Top Bottom