Yanga yaingia mkataba wa Tsh Bilioni 34.8 na Azam Media

Yanga yaingia mkataba wa Tsh Bilioni 34.8 na Azam Media

Page ya barbra na Mo zinatangaza habari za club?
Tangu lini, hivi mtu kusema tusikate tamaa ni habari ya club?
Umetanguliza ushabiki mbele kiasi kwamba huoni.
Ni content ipi ya TV imekuwa covered na social media za simba?
Ungeniambia youtube channel ningekuelewa, napo bado sio sana.
Hujui babra na moo tayar ni sehem za clab hujui kua simba ndio source?
 
Mimi napenda kuchukua nafasi hii kuupongeza uongozi wa Yanga kwa kufikia makubaliano na hatimae kutialiana saini mkataba mnono wa miaka 10 na Azam Media.

Ni historia kubwa kwa maendeleo ya Club yetu ya Yanga, huu ni mwanzo makubwa mengi sisi wapenzi, mashabiki na wanachama tunatarajia kuyaona na tuna imani kubwa na Uongozi huu kwa matarajio ya wengi wetu kuiona Yanga inakua Club ya mfano si tu Tanzania, bali Afrika na ulimwenguni kwa ujumla.

Kila la heri timu yetu.
Daima mbele, nyuma mwiko
 
Page ya barbra na Mo zinatangaza habari za club?
Tangu lini, hivi mtu kusema tusikate tamaa ni habari ya club?
Umetanguliza ushabiki mbele kiasi kwamba huoni.
Ni content ipi ya TV imekuwa covered na social media za simba?
Ungeniambia youtube channel ningekuelewa, napo bado sio sana.
Screenshot_20210708-090858~2.png

Hizo contents nyingi ni za kibiashara na zinaweza kulipiwa kama contents za SSC na zikaingizia Club hela.
Kama upo kuitetea Simba, hizo contents ni counterproductive. Zinaathiri nguvu ya Club kunegotiate deals.
Ila wewe upo kiubishi zaidi.
 
View attachment 1845943
Hizo contents nyingi ni za kibiashara na zinaweza kulipiwa kama contents za SSC na zikaingizia Club hela.
Kama upo kuitetea Simba, hizo contents ni counterproductive. Zinaathiri nguvu ya Club kunegotiate deals.
Ila wewe upo kiubishi zaidi.
Najua umeumbuka, na wewe unajua hilo hamna habari hapo, ni jumbe za kawaida kabisa....
"Ahsante mungu tumeshinda, ina athiri vipi TV rights?
 
Najua umeumbuka, na wewe unajua hilo hamna habari hapo, ni jumbe za kawaida kabisa....
"Ahsante mungu tumeshinda, ina athiri vipi TV rights?
Kama wewe unaona ni number za kawaida, basi ndiyo maana timu zetu zipo hivi zilivyo
Hawa siyo miungu na si kwamba wanajua Kila kitu
Kurekebishana ni muhimu ili tuendelee. Sasa mwambie Hani asipost Mambo ya Simbilisi. Atawatuma a, na hapo ndiyo tunapokwama.
 
Simba inategemea sana mitandao ya kijamii kama vile Instagram na Tweeter. Pia ina viongozi ambao ni kama celebrities, kwa mfano Haji Manara na Mo Dewji. Wana followers wengi, hata Barbara Gonzalez.

Ubovu wa hili kwenye negotiations za Media Partnership ni kuwa itabidi kurasa hizi ziache kuandika na kuonyesha baadhi ya matukio.
Yaani mimi kama AZAM nachukua hizi pages kama competition na itabidi unihakikishie kuwa utaacha kupost mambo ya Simba kabla ya kuniuliza na kuhakikisha hazitaleta migogoro.

This is Negative.
Pia Azam wataangalia siku Yanga ikicheza viewrship ipo vipi na siku Simba ikicheza viewership ipo vipi hasa kwenye TV.
Na mauzo ya Jezi pamoja na merchandise.

Halafu Simba nusu ya mapato yataenda kwa mtu binafsi, anaweza akatumia hizo hela kununua tambuu au kuwapa Simba. Hiyo ni juu yake.

Upende usipende, kwenye hili Yanga wamewapiga bao Simba.
Kwani Simba wanashindana na Yanga kwenye huo mkataba ?
 
Simba wataingia kama huo huo. Wamesema Azam wenyewe!
 
Ila huyu Jamaa Azam group kila kitu yeye hamna matajiri wengine jamani inamaana TANZANIA kuna tajiri mmoja tu mwenyewe idea za kutengeneza Pesa.

Sababu Azam media sifikiri hata inamiaka 10yrs lkn mambo inayo fanya na kujitanua kwenye media industry ni inakwenda speed ya ajabu.

MMUNGU aliye mpa kampa tu hawa jamaa wanaweza wakaja na idea ya kuuza hata MAVUMBI tu ya barabarani wakakamata soko vile vile.
Hiyo ndio faida ya kufanya kazi na wasomi ,kina tido muhando , muliwata TBC pale kisha kwa akili zenu chafu ,mkaanza waundia zengwe baada yakuanza kuirudisha TBC kwenye ramani ,
Siasa za maji taka ,sasa subir bakhressa anufaike

Sent from my Infinix X623 using JamiiForums mobile app
 
Kama wewe unaona ni number za kawaida, basi ndiyo maana timu zetu zipo hivi zilivyo
Hawa siyo miungu na si kwamba wanajua Kila kitu
Kurekebishana ni muhimu ili tuendelee. Sasa mwambie Hani asipost Mambo ya Simbilisi. Atawatuma a, na hapo ndiyo tunapokwama.
Unachotaka kusema ni kwamba Bumbuli, Nugaz, Mwakalebela, Haji Mfikirwa, Senzo n.k hawaposti chochote kinachohusu Yanga SC kwenye social media accounts zao ?

Kama hivyo ndivyo ilivyo, kwanini Simba (ambayo inadhoofishwa na akina Haji, Mo, Barbara, n.k) ina fan base kubwa zaidi ya Yanga huko huko kwenye social media ?
 
Hata kama simba watafatwa na Azam deal halita kamilika sababu yule mudi anataka mpaka akiwa na hisa zake 49 deal izo zikiingia ndani pindi na yeye tayar ni mwenyekit ngoma igawike
Ni wachache sana watakuelewa Mkuu,na kama kweli Simba walifuatwa wakagoma basi Mudi ndo alikataa,,na hapa ndo utagundua jamaa alivyo janja janja!
 
Kwamba hilo deal limekuwa facilitated by Senzo au? [emoji23][emoji23][emoji23]

Kwa taarifa yako, baada ya Yanga ni Simba, tutakaa mmsifie pia Babra.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mikia bwana kwa kukulupuka soma comment ya niliyoMQUOTE na nilicho COMMENT mimi
Kisha linganisha na ulichoandika km utaona vina uhusiano
Yule zeruzeru amewaharibu sana kwa kulopokalopoka usichokielewa
 
Hizo fedha zinaenda wapi?..mbona wachezaji wanadai mishahara
Daah! Kwa hiyo mkataba ulivyosainiwa leo inaonyesha hizo pesa walikuwa wanapata siku zote kiasi kwamba huelewi kwa nini wanadaiwa mishahara ya wachezaji?


Yaani mtu akiniuliza mbona ulikuwa unapata tabu na njaa siku zote nyuma wakati hela leo umelipwa? Namtupia baharini aliwe na samaki



Sent from my SM-A115F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom